Pre GE2025 Ally Hapi: CCM ndicho chama pekee chenye uwezo wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Vyama vingine vina nia ya kutafuta madaraka pekee

Pre GE2025 Ally Hapi: CCM ndicho chama pekee chenye uwezo wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Vyama vingine vina nia ya kutafuta madaraka pekee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Ally Hapi, amesema kuwa CCM ndicho chama pekee chenye uwezo wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi, huku akidai kuwa vyama vingine vina nia ya kutafuta madaraka pekee.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hapi ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wanachama wa CCM wilayani Mpwapwa, mkoani Dodoma, alipowasili kwa ziara ya siku moja yenye lengo la kukijenga chama na jumui
 
Back
Top Bottom