LGE2024 Ally Hapi: Chagueni wagombea wenye connection

LGE2024 Ally Hapi: Chagueni wagombea wenye connection

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi Ally Hapi leo amezindua kampeini za uchanguzi wa Serikali za Mitaa kwa chama hicho mkoa wa Kagera huku akiwapigia chapuo wagombea wa chama hicho huku akisema ndiyo wagombea pekee wenye Connection kuanzia ngazi ya chini mpaka kwa Rais

 
Back
Top Bottom