Mwizukulu wa Buganda
Member
- Nov 19, 2024
- 94
- 307
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi Ally Hapi leo amezindua kampeini za uchanguzi wa Serikali za Mitaa kwa chama hicho mkoa wa Kagera huku akiwapigia chapuo wagombea wa chama hicho huku akisema ndiyo wagombea pekee wenye Connection kuanzia ngazi ya chini mpaka kwa Rais