Ally Happi Stay Strong , Never Compromise your principles !!

Ally Happi Stay Strong , Never Compromise your principles !!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Inawezekana kabisa unapitia kipindi kigumu cha Kihisia, kijamii ,Kisiasa !!

Inawezekana kabisa katika kipindi hiki , mawazo mengi ,mashauri mengi yanakupata ,huenda unasukumwa Kuomba msamaha ?!!! Uombe wa Msamaha Kwa Kosa gani?.

Kwamba Wale wazee , ambao Sasa ndio wameshika Mpini ,unalazimika kwenda kujinyenyekeza ? Wale wazee ambao Walisikika waziwazi kumponda Hayati JPM ? Wale wazee ambao shughuli zao zote za Kisiasa zimejaa Katika kuyatizama matumbo Yao?.

Ninani angeshughulika nao kama sio Vijana ?. Kama sio wewe , ninani angesimama kumwambia "Katika hili mnamkosea sana Mh JPM"

Watanzania wanajua Hayati JPM alipigana Vita na Maadui wa Nje, na Maadui wa Ndani !.

Ally Happi, wee ni Kiongozi, wee ni kijana ambaye Damu yako imejazwa uongozi, na Uongozi wako sio wa Kutafuta kushibisha matumbo yako Bali kuyashibisha matumbo ya Watanzania .

Uongozi wako ,ni uongozi ulojaa HEKIMA, BUSARA, UADILIFU ,MAONO ... Kama Kijana ambaye ni zao la Hayati JPM, utabakia kua Moja ya Vijana ambao ni Tunu Kwa Taifa hili.

Usiwaze, Usiumie, usitafute kujipendekeza , usitafute kufit mahali ambapo Kwa Sasa haufiti.

Watanzania Wanajua, wee ni Kiongozi ulotolewa Uongozini Kwa Sababu ya maamuzi yako wakati ule wa JPM, ndiooo maamuzi yako ,kauli ZAKO na matendo yako yalikua Sahihi !!!! Hujamkosea mtu !!!!

Usibadilike kuwafaa, usitizame tumbo lako tu, tazama Watanzania, Fikiria Juu ya Heshima yako, Fikiria Juu ya Historia yako !!

Hayati JPM, hakuupata URAIS Kwa kujipendekeza, hakuupata URAIS Kwa kua sehem ya Ufisadi .

Tunza Afya yako, Ongeza Maarifa yako , Jifunze mengine usoyajua .

Kwa kuwa muda sahihi , Tutapata uongozi Tena uleule ambao Utaenda kulinda Masilahi ya Taifa letu na Mtanzania Mmoja Mmoja,. Haipingiki kwamba ,Nawe ni Mmoja ya Vijana waloamriwa kushika Nafasi kubwa za Kiongozi Ndani ya Taifa letu !!


Jambo Moja kwako Lilo na UHAKIKA kabisa ni kwamba, Mungu atoae Mamlaka , amekuandalia Nafasi Sahihi, katika Muda sahihi kwakua wewe nimtu sahihi !!

Binafsi Sina shaka Kwa Hilo !!.Wenye Akili tunakuelewa !!.
 
Kaa kwa kutulia sheikh acha na wengine walambe asali kidogo
 
Hatari sanaaaaaaaa

Ajira ngumu kumbe, hawataki kijiajiri, si anajiita mkulima akalime sasa.
Hii Mentality ndio inafanya Tunapata Viongozi Mafisadi

Kwann ,uchukulie Uongozi kama sehem ya Ajira ??

Na kwann uamue kutafuta nafasi za Kiuongozi kama sehem ya Ajira yako?.

Taifa linahitajika kupata viongozi Kwa ajili ya Wananchi, kama alivyokua JPM, kama ilivyo Kwa Hawa Vijana walopikwa na JPM!!.
 
Hii Mentality ndio inafanya Tunapata Viongozi Mafisadi

Kwann ,uchukulie Uongozi kama sehem ya Ajira ??

Na kwann uamue kutafuta nafasi za Kiuongozi kama sehem ya Ajira yako?.

Taifa linahitajika kupata viongozi Kwa ajili ya Wananchi, kama alivyokua JPM, kama ilivyo Kwa Hawa Vijana walopikwa na JPM!!.

Happy hajawahi kujiajiri, amezoea maisha ya kulipwa mshahara toka amalize UDSM

Sasa hivi Yes, anapitia kipindi kigumu kwakua imekuja gafla sana

Muda huu anatakiwa ajifunze sana kuishi na watu.

Pia Happy alikosea, hilo akubali, Huwezi kitukana wazee wa CCM waliokupa kula kwakua unatetea Ujinga.

Hamna mtu anamuonea Huruma Happy

Akafie Mbele
 
Happy hajawahi kujiajiri, amezoea maisha ya kulipwa mshahara toka amalize UDSM

Sasa hivi Yes, anapitia kipindi kigumu kwakua imekuja gafla sana

Muda huu anatakiwa ajifunze sana kuishi na watu.

Pia Happy alikosea, hilo akubali, Huwezi kitukana wazee wa CCM waliokupa kula kwakua unatetea Ujinga.

Hamna mtu anamuonea Huruma Happy

Akafie Mbele
Hii ndio kua Double standard , ni hawahawa Wazee walotumia vinywa vyao kumkejeli Rais aliyepo madarakan, na Mwenyekiti wao .

Lilikua Jukum la Nani Kisiasa , kushughulika nahawa wazee ?.

Lkn pia sio Kila Mzee ana BUSARA,, hata Wapumbavu wanazeeka pia !!.
 
Kuna wasofaa ,ila Kwa nyakati wamerudi kuila Nchi.

Vipi kuhusu wanaofaa kama Ally Happi?.
Mwambie asali Samia afe ili Mpango achukue nchi,hapo atakumbukwa. La sivyo asahau.

Ukweli ni kwamba, Samia Ataishi kushuhudia Ally Happi Akirudi katika Nafasi za Kiongozi za Juu!!
 
Yeye anatafuta kwa sababu ya nini?
Ukiona unautafuta uongozi Kwa Pesa, Nguvu kubwa , ni kweli utakua, lakini hautakua kwaajili ya watu ...Uongozi wako utajaa Kurudisha ulichopoteza wewe, Rafiki zako, Kichwan kwako neno "Manufaa ya Wengi" kitabaki kua msamiati.

Kuna watu wanazaliwa kua viongozi ,kuwaongoza wengine katika kufikia Yale waloyakusudia.. watu Hawa hawawi viongozi Kwa sababu ya UJIRA mkubwa waupatao.
Kwa bahati mbaya sana , aina hii ya watu Kwa Nchi kama hizi ,huonekana wanga !!.
 
7da932d405c48f710ad469d691f9f7f6--change-tables-life-is-a-balance-of-holding-on.jpg
 
Inawezekana kabisa unapitia kipindi kigumu cha Kihisia, kijamii ,Kisiasa !!

Inawezekana kabisa katika kipindi hiki , mawazo mengi ,mashauri mengi yanakupata ,huenda unasukumwa Kuomba msamaha ?!!! Uombe wa Msamaha Kwa Kosa gani?.

Kwamba Wale wazee , ambao Sasa ndio wameshika Mpini ,unalazimika kwenda kujinyenyekeza ? Wale wazee ambao Walisikika waziwazi kumponda Hayati JPM ? Wale wazee ambao shughuli zao zote za Kisiasa zimejaa Katika kuyatizama matumbo Yao?.

Ninani angeshughulika nao kama sio Vijana ?. Kama sio wewe , ninani angesimama kumwambia "Katika hili mnamkosea sana Mh JPM"

Watanzania wanajua Hayati JPM alipigana Vita na Maadui wa Nje, na Maadui wa Ndani !.

Ally Happi, wee ni Kiongozi, wee ni kijana ambaye Damu yako imejazwa uongozi, na Uongozi wako sio wa Kutafuta kushibisha matumbo yako Bali kuyashibisha matumbo ya Watanzania .

Uongozi wako ,ni uongozi ulojaa HEKIMA, BUSARA, UADILIFU ,MAONO ... Kama Kijana ambaye ni zao la Hayati JPM, utabakia kua Moja ya Vijana ambao ni Tunu Kwa Taifa hili.

Usiwaze, Usiumie, usitafute kujipendekeza , usitafute kufit mahali ambapo Kwa Sasa haufiti.

Watanzania Wanajua, wee ni Kiongozi ulotolewa Uongozini Kwa Sababu ya maamuzi yako wakati ule wa JPM, ndiooo maamuzi yako ,kauli ZAKO na matendo yako yalikua Sahihi !!!! Hujamkosea mtu !!!!

Usibadilike kuwafaa, usitizame tumbo lako tu, tazama Watanzania, Fikiria Juu ya Heshima yako, Fikiria Juu ya Historia yako !!

Hayati JPM, hakuupata URAIS Kwa kujipendekeza, hakuupata URAIS Kwa kua sehem ya Ufisadi .

Tunza Afya yako, Ongeza Maarifa yako , Jifunze mengine usoyajua .

Kwa kuwa muda sahihi , Tutapata uongozi Tena uleule ambao Utaenda kulinda Masilahi ya Taifa letu na Mtanzania Mmoja Mmoja,. Haipingiki kwamba ,Nawe ni Mmoja ya Vijana waloamriwa kushika Nafasi kubwa za Kiongozi Ndani ya Taifa letu !!


Jambo Moja kwako Lilo na UHAKIKA kabisa ni kwamba, Mungu atoae Mamlaka , amekuandalia Nafasi Sahihi, katika Muda sahihi kwakua wewe nimtu sahihi !!

Binafsi Sina shaka Kwa Hilo !!.Wenye Akili tunakuelewa !!.
Unamdanganya na kujidanganya wewe mwenyewe

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom