Ally Keissy: Kuna Wabunge wanajichubua mpaka hujui huyu ni Mchina ama Mwarabu

Ally Keissy: Kuna Wabunge wanajichubua mpaka hujui huyu ni Mchina ama Mwarabu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini, Ally Mohamed Keissy ametoa mtazamo wake kuhusu Wabunge wanaopata matatizo ya ngozi kutokana na kujichubua mpaka ukikutana nao hujui kama ni Mchina ama Mwarabu

 
Hatumwelewi

KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE
 
Anaitwa Ally Mabodi , yeye na mama Ghasia JIWE aliwatoa kafara masikini
 
Pesa ni nyingi, Acha wajichubue tu. Ila wanaenda kinyume na Mungu, walipewa rangi nzuri ila wanaiharibu.
 
Back
Top Bottom