Ushawahi kusikiliza vizuri nyimbo za diamond kama vile Ukimwona, Kulewa, Kamwambie na Mbagala (kutaja chache tuu) na kugundua kuwa midundo yake ina ladha ya kipekee?
U cant be serious, they aint affiliated with hiphop.
Yeaah i know what i mean ! Fellah
It's abbreviation though can have more than a million meanings !
According to a thread intention !
My take !
I'll put
Barnaba over Diamond !
Ally kiba Over Barnaba
Ally kiba over Diamond !
Linex (linenga) over all of them !
Linex :shetani: kill Em' all and he's the best musician i ever seen in Tanzania aside Bongo Fleva genre !
Hayo mahaba sasa,Linex ni fundi ndio but hawapati hao wote
Mwenzenu nikiangalia uwezo hasa sauti za hao waimbaji watatu mbona naona diamond haingii hata kidogo. cha kushangaza nyimbo za domo nazikubali ila nikikaa nikatulia na kulinganisha naona mmh!! hataa! .hivi ni kwa nini hawa hawafiki mbali kama domo? Ukizingatia kwa kuangalia sauti zao wanauwezo mkubwa sana wa kuperform kwa kutumia band kama wanavofanya p square na wasanii wengine wa mbele. Haya ni mawazo yangu binafsi sijui wenzangu mnasemaje.?
Yeaah i know what i mean ! Fellah
It's abbreviation though can have more than a million meanings !
According to a thread intention !
My take !
I'll put
Barnaba over Diamond !
Ally kiba Over Barnaba
Ally kiba over Diamond !
Linex (linenga) over all of them !
Linex :shetani: kill Em' all and he's the best musician i ever seen in Tanzania aside Bongo Fleva genre !
Nani wa kumlinganisha na linex hapa Tanzania ?
List yangu iko hivi;
1.Alikiba
2.Barnaba
3.Belle9 removed by Snipa
4.Diamond
5.Ben Pol
*6.Linex
7.Mavoko
U nailed it hao wanaosifia Kiba barbana hayo nayo ni mapenzi yao binafsi tu ila ukija kwa kila kitu Linex real deserve it na ndo maana anadiriki kujiita VOA jamaa sio anaimba tu bali u feel it raha ya muziki uimbe huku mwenyewe ukiburudika so uimbe tu kuburudisha wengine. Kwanza ule Lekadutigite bila Linex 100% ungekuwa boring lile corus la Linenga ndo limeubeba wimbo.
Oooooh i thought you wouldn't understand !
Am glad to hear from you!
you were already know the truth !
Waache wabishe lakini ukweli unaishi uongo unakufa !
Linex ana take over kwenye bongo fleva music industry !
Kwanza anasimama as musician tukiangalia sauti anayo imbia na anayo ongea ! Utaona ni the same !
Sio hawa wengine wanaojifanyisha fanyisha tu !
Wakibisha we Give a hand ! And show off !
inavyoonekana wewe una sababu ya kumchukia diamond si kwa kile anachokifanya.coz kama kweli unataka kuongelea vpaj vya wa2 kuna haja gani ya ku2mia neno domo? kiufupi huo ni uhanithi uliokithiri kumchunguza m2 kwa jinc alivyoumbwa so muda mwingine utakuja kukojolewa bure mbwa wee
Muziki siyo sauti nzuri Nyie Kenge!
Haya tuambiane na Jose Chameleone
Pia hana sauti nzuri