Ushawahi kusikiliza vizuri nyimbo za diamond kama vile Ukimwona, Kulewa, Kamwambie na Mbagala (kutaja chache tuu) na kugundua kuwa midundo yake ina ladha ya kipekee?
'Midundo Mizuri'...I Beg To Differ.....Kwakweli Beats Za Diamond Ziko Too Local Kama Za Bongo Flavor Artists Wengine....Mdundo Mzuri Kwa Tafsiri Nzuri Ni Zile Za Real Vyomboz Kama Za Kina Barnaba....
Unataka kusikia Mdundo Mzuri?...Tafuta nyimbo ya MAWAZO ya Hisia(Mwanamuziki Chipukizi Kutoka TPF)
Ushauri
Wanaume tuandikage
Damond badala ya Dia-Mond
mana tukiandika Dia-Mond haileti picha nzuri !
Nani wa kumlinganisha na linex hapa Tanzania ?
Ushawahi kusikiliza vizuri nyimbo za diamond kama vile Ukimwona, Kulewa, Kamwambie na Mbagala (kutaja chache tuu) na kugundua kuwa midundo yake ina ladha ya kipekee?
We Kenge mkubwa Chamilion anayo sauti nzuri Kenge wewe !
Afu we kenge ila una akili kama za paka kwani we hujui kama ana sauti nzuri we kenge unachanganyikiwa sikuhizi?
Nani wa kumlinganisha na linex hapa Tanzania ?
aaaah.......Banana,Rodgers,....wengi tu!
You must be Joking !
:msela:
am not!sijui tu wewe unaangalia nini toka kwa ''muimbaji mzuri'' na mimi pia hujui naangalia nini!ni ngumu kufanya ufananishi wa moja kwa moja na kuhitimisha kwamba ''Tanzania nzima'' hakuna kama huyu!hawa madogo wanajitahidi sana lakini wengine si kwa kiwango wanachofikiriwa kuwa nacho kaka!