Ukiona hivyo ujue katika muda wote huo hukumshawishi(hakuona sababu ya kutosha kufanya akuoe)Hapa ndo utajua muda sio kipimo cha upendo
Kwa hyo kwa unavyofikir wewe huyo dada hajaonjwa bado alikiba?Ukiona hivyo ujue katika muda wote huo hukumshawishi(hakuona sababu ya kutosha kufanya akupe)
Ndio maana kimaadili hutakiwi kumpa tamu kabla hajakuoa. Kwa sababu "a good man to a woman is who offered her marriage first and not who ask for sex first "
Nimeongelea kiujumla mkuu,unaweza ukawa na mtu kumbe huyo mtu amejishikiza tu kwako akisubiri mtu sahihi kwake huku wewe ukidhani kwako ndo kafika.Kwa hyo kwa unavyofikir wewe huyo dada hajaonjwa bado alikiba?
Inabidi wapewe bendera ya Taifa waipeperusheWanawakilisha taifa
wakenya si wanagawa kibano...... usikute ndo yamempata nyoo!Jomoniií Nilikuwa nasubr arudiane na Joketi
Kale kaAmina cyo kazuri kama kidoti buanaa
alf mahusiano yao ya muda mfupi ivo ,uyo mkenya kampa nn Kiba hadi amuoe haraka ivo
Au tayari anakibendi?
Zimenadikwa mbinguni ndoa zote na Mwenyezi. Kama ipo ipo tu na kama hakuna, hakuna hata ukimpa nini.Ndio uone wanaume jaman mnaweza kuwa kwenye mahusiano miaka na miaka akaja kuolewa mwingine hata miezi 6 hawajafika
KabisaaaaKwahiyo kiba kafanya maamuzi sahihi
Uzuri wa nje pekee sio kigezo kuolewaJomoniií Nilikuwa nasubr arudiane na Joketi
Kale kaAmina cyo kazuri kama kidoti buanaa
alf mahusiano yao ya muda mfupi ivo ,uyo mkenya kampa nn Kiba hadi amuoe haraka ivo
Au tayari anakibendi?
nimehis we ni mrembo sana jinsi ulivyoandika kwa poziJomoniií Nilikuwa nasubr arudiane na Joketi
Kale kaAmina cyo kazuri kama kidoti buanaa
alf mahusiano yao ya muda mfupi ivo ,uyo mkenya kampa nn Kiba hadi amuoe haraka ivo
Au tayari anakibendi?
hehehehe si poaKimyakimya anaoa au anaolewa? Maana Mombasa huko, hoo.
Ahahaaaah...Jomoniií Nilikuwa nasubr arudiane na Joketi
Kale kaAmina cyo kazuri kama kidoti buanaa
alf mahusiano yao ya muda mfupi ivo ,uyo mkenya kampa nn Kiba hadi amuoe haraka ivo
Au tayari anakibendi?
Hujui Mombasa wanatoaga nini? Joketi kashindwa masikini mngoni yuleJomoniií Nilikuwa nasubr arudiane na Joketi
Kale kaAmina cyo kazuri kama kidoti buanaa
alf mahusiano yao ya muda mfupi ivo ,uyo mkenya kampa nn Kiba hadi amuoe haraka ivo
Au tayari anakibendi?