Wivu mbaya aisee msimwonee wivu mwenzenu
Watamkimbiza sana diamond mwaka huu lkn hawatampata kwa ukwasi alionao hatari!
Sina wivu hata kidogo na mafanikio ya mtu,ingawa huwa nayachukulia kama chalkenge kwangu,nimuonee wivu kwakipi hasa
Ninachofahamu ni kuwa hawa mastaa wetu wakipata umaarufu kidogo huwa wanatumika kama Punda kusafirisha hayo Madudu yao.
Ni suala la muda tu tutajua mengi chief.
ninashangaa sana wabongo tusivokuwa makini katika reasoning eti ki alikiba kinasema kinapata mil12 kwa show nani ampe afu ni kwa kipi hasa anachokifanya had alipwe hivo kama sio kuwa punda
ww umetujibu kuwa tunamsafisha diamond wakati ww unamchafua ally kiba sasa unadhani nani atawasafisha mnaowachafua? Acha hizo bana!! Mbwiga wa clouds au!
ila kiukwel allykiba anapga show nyng sana za nje ila hajitangaz ovyo,