Utakaa kusubiri iyumbe ila hatayumbaMayayi tembele
Kaongea pumba Yanga wako na trasfomation from LALIGA
Siku Mo biashara zake zikiyumba basi Simba hapo hapo imekufaa.
Simba nitimu ya familia ya muhindii
Bila shaka tunasubir press conferenceKesho ataamka na kesi ya Morrison
Mbona hata Taifa huwa Simba ndio wengiInawezekana Simba ikawa inaizidi vitu vingi sana Yanga kwa miaka hii ya hivi karibuni,lakini kwenye suala la ni nani mwenye mashabiki wengi mimi naamini Yanga ina mashabiki wengi zaidi kuliko Simba.mimi ni mshabiki wa Simba.
Ujue hivi vitu usivitazame kishabiki zaidi,mimi hua nachunguza zaidi maeneo yote ninayotembelea tembelea,kuanzia mtaani,kazini na baadhi ya maeneo mengine tofauti tofauti.
Eti Yanga wamedumaa na mfumo wa zaman? Inamaana ajui Kama yanga ipo katika mabadiliko ya kimfumo wa uendeshaji?Na Ally Mayai Tembele
Niliwahi kuandika Yanga inajidanganya yenyewe na kuishi kwa kivuli cha timu kubwa na kudhani labda dunia imesimama kumbe dunia inakimbia kwa kasi mno.
Nilisema Yanga imedumaa na Siku ikija kushtuka na kutaka kwenda sambamba na dunia itakuta tayari Simba imeliteka soko lote la Uchumi wa soka nchini.
Nilitoa mfano wa Juventus, Porto, Buyen Munich, Mazembe, Gor na Horoya kwamba timu hizi tayari zimejimilikisha Uchumi wa soka wa nchi zao. Leo hakuna mchezaji wa Kijerumani asiyetamani kuchezea Buyern. Au mchezaji anayezaliwa Italy ndoto yake kuu ni kucheza Juventus.
Na tunakoelekea na Tanzania hali ndiko inakoelekea. Simba inajimilikisha kwa kasi ya ajabu uchumi wa soka.
Yanga wamebaki kujivunia juzi na jana na sio leo na kibaya zaidi sioni kesho yao. Kama Kuna kosa kubwa kuliko yote linafanyika ni pale wanapobeza mafanikio ya Simba na kuwaponda mwekezaji wa Muhamed Dewji.
Wamekuwa wakitafuta mapungufu machache yaliyopo Simba na kuyafanya ndio agenda yao. Wamesahau kabisa kuitazama timu yao na mkwamo uliopo wameamua kuitukuza Simba na kuitaja aidha kwa mapungufu au kuwabeza Kama watani. Wanasahau hapa wao wenyewe ndio wanaikuza brand ya Simba na kuifanya kutajwa mno midomoni kila siku.
Leo Yanga hawana hata Jambo Moja wanaloweza kupambana na Simba aidha ndani au nje ya Uwanja. Wamezidiwa kila idara na itawachukua muda mrefu mno kufikia Simba ilipo Sasa.
Yanga hawajakubali bado kubadilisha mfumo wao wa uendeshaji wa timu kutoka wa kizamani na wa kiholela kuja kwenye mfumo wa kisasa na hii inasababishwa na walaghai tena wezi wa jasho la wachezaji kuwahadaa ni timu ya wananchi na wasikubali mwekezaji kwa kuwa timu itakuwa si Mali yao tena. Huu ndio uongo uliotukuka wanaoutumia walaghai kuendelea kujinufaisha kupitia klabu hii.
Embu tujiulize nyie wapenzi na mashabiki wa Yanga lini mlinunuliwa hata soda na klabu zaidi ya nyie kuchangishwa? Sasa hicho mnachoaminishwa mtakipoteza ni kipi? Wanaoogopa kupoteza ni wale akina fulani ambao maisha yao yanategemea timu kuendelea kuishi mjini.
Na hawa huwa hawachangii zaidi ya kuwa mstari wa mbele kuhamasisha ili wazizungukie mlango wa nyuma wakaziibe. Sisi tunaochanga Wala hatuna Cha kupoteza
Nahisi kwenye miaka ya sitini ni kweli mashabiki wa Yanga labda walikuwa wengi kuliko wa Simba na mkabweteka na mkasahau watu wanazaliwa na kufa.
Nimebahatika kwenda karibu viwanja vyote vya soka nchini. Nawahakikishia kwa sasa Simba Ina mashabiki wengi kuliko timu zote nchini.
ENDELEENI KULALA MKIAMKA TAYARI JUA LITAKUWA LINAZAMA.
Nyinyi mnaenda hadi airport kupokea wapinzani wa Simba halafu unauliza yanga na Simba nani anamwongelea mwenzake zaidi kweli Eymael hakukoseaEti Yanga wamedumaa na mfumo wa zaman? Inamaana ajui Kama yanga ipo katika mabadiliko ya kimfumo wa uendeshaji?
Yanga kuiongelea Simba inaipa umaarufu, Kati ya Yanga na Simba Nani anamuongelea mwenzie?
Huyu roho inamuuma kumuona Nizar Kapata kazi ya Assistant coach na yeye kutemwa
Kwenda kuwapokea airport wapinzani wa Simba ndo kuiongelea Simba?Nyinyi mnaenda hadi airport kupokea wapinzani wa Simba halafu unauliza yanga na Simba nani anamwongelea mwenzake zaidi kweli Eymael hakukosea
Mnaendaje kuipokea timu msiyocheza nayo kama siyo utaahiraKwenda kuwapokea airport wapinzani wa Simba ndo kuiongelea Simba?
Vipi msemaji wenu kashaacha kukunwa na Yanga?
Wanauhakika wa ushindi ndio maana wanajitokezaNimebahatika kwenda karibu viwanja vyote vya soka nchini. Nawahakikishia kwa sasa Simba Ina mashabiki wengi kuliko timu zote nchini.
MALCOM LUMUMBA
Baadhi ya yale uliyo yaandika nayaunga mkono! Hasa hili la akina Mwakalebela kuleta porojo nyingi kwenye masuala yasiyo hitaji siasa wala porojo.Na Ally Mayai Tembele
Niliwahi kuandika Yanga inajidanganya yenyewe na kuishi kwa kivuli cha timu kubwa na kudhani labda dunia imesimama kumbe dunia inakimbia kwa kasi mno.
Nilisema Yanga imedumaa na Siku ikija kushtuka na kutaka kwenda sambamba na dunia itakuta tayari Simba imeliteka soko lote la Uchumi wa soka nchini.
Nilitoa mfano wa Juventus, Porto, Buyen Munich, Mazembe, Gor na Horoya kwamba timu hizi tayari zimejimilikisha Uchumi wa soka wa nchi zao. Leo hakuna mchezaji wa Kijerumani asiyetamani kuchezea Buyern. Au mchezaji anayezaliwa Italy ndoto yake kuu ni kucheza Juventus.
Na tunakoelekea na Tanzania hali ndiko inakoelekea. Simba inajimilikisha kwa kasi ya ajabu uchumi wa soka.
Yanga wamebaki kujivunia juzi na jana na sio leo na kibaya zaidi sioni kesho yao. Kama Kuna kosa kubwa kuliko yote linafanyika ni pale wanapobeza mafanikio ya Simba na kuwaponda mwekezaji wa Muhamed Dewji.
Wamekuwa wakitafuta mapungufu machache yaliyopo Simba na kuyafanya ndio agenda yao. Wamesahau kabisa kuitazama timu yao na mkwamo uliopo wameamua kuitukuza Simba na kuitaja aidha kwa mapungufu au kuwabeza Kama watani. Wanasahau hapa wao wenyewe ndio wanaikuza brand ya Simba na kuifanya kutajwa mno midomoni kila siku.
Leo Yanga hawana hata Jambo Moja wanaloweza kupambana na Simba aidha ndani au nje ya Uwanja. Wamezidiwa kila idara na itawachukua muda mrefu mno kufikia Simba ilipo Sasa.
Yanga hawajakubali bado kubadilisha mfumo wao wa uendeshaji wa timu kutoka wa kizamani na wa kiholela kuja kwenye mfumo wa kisasa na hii inasababishwa na walaghai tena wezi wa jasho la wachezaji kuwahadaa ni timu ya wananchi na wasikubali mwekezaji kwa kuwa timu itakuwa si Mali yao tena. Huu ndio uongo uliotukuka wanaoutumia walaghai kuendelea kujinufaisha kupitia klabu hii.
Embu tujiulize nyie wapenzi na mashabiki wa Yanga lini mlinunuliwa hata soda na klabu zaidi ya nyie kuchangishwa? Sasa hicho mnachoaminishwa mtakipoteza ni kipi? Wanaoogopa kupoteza ni wale akina fulani ambao maisha yao yanategemea timu kuendelea kuishi mjini.
Na hawa huwa hawachangii zaidi ya kuwa mstari wa mbele kuhamasisha ili wazizungukie mlango wa nyuma wakaziibe. Sisi tunaochanga Wala hatuna Cha kupoteza
Nahisi kwenye miaka ya sitini ni kweli mashabiki wa Yanga labda walikuwa wengi kuliko wa Simba na mkabweteka na mkasahau watu wanazaliwa na kufa.
Nimebahatika kwenda karibu viwanja vyote vya soka nchini. Nawahakikishia kwa sasa Simba Ina mashabiki wengi kuliko timu zote nchini.
ENDELEENI KULALA MKIAMKA TAYARI JUA LITAKUWA LINAZAMA.
Umesahau simba wali ipokea mazembe kipindi inacheza na YangaNyinyi mnaenda hadi airport kupokea wapinzani wa Simba halafu unauliza yanga na Simba nani anamwongelea mwenzake zaidi kweli Eymael hakukosea
Mchakato upi mkuu?Mpira wa tanzania unashida sana, tena hawa wanaojiita wachambuzi.
Leo upepo ukienda vizuri msimbazi baasi yeye ataandika anayotakaa kuhusu yanga! Nashangaa hii makala ameandika ALLY MAYAY tunaemfahamu sisi. Kuona simba kashinda mechi mbili basi, kaona yanga bado imeng'ang'ania mfumo wa zamani. Hivi huyu Ally hajui yanga wako katikati ya mchakato wa mabadiliko?
Simba na Mazembe wana uhusiano tangu zamani. Inashangaza uto kupokea kila timu inayokuja kucheza na Simba ... Plateau, Platinum, Libolo, UD Songo, nkUmesahau simba wali ipokea mazembe kipindi inacheza na Yanga
pia hili tatizo sana, washabiki wa yanga simba akishinda tu baasi wanaona kwao kila kitu shidaMchakato upi mkuu?
Pale ni mipango tu ili GSM azidi kuifaidi Yanga kwakufanya biashara zake.
Simba ni kweli wametuzidi kwakila kitu,sisi bado tupo kwenye kufurahia mashudu wakati mafuta wanachukuwa wengine.
Yanga sasa haiandikishi wanachama....ukienda unaambiwa mpaka mchakato wa mabadiliko upite. Nugazi yupo pale kupigia domo biashara za GSM na si vinginevyo.
Yanga bado sana. Na tusipoangalia ndo tunapotea kwenye ramani ya soka mazima.p
π π π