Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mlinda mlango wa Simba SC Aishi Manula amejumuishwa katika kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza mechi za kuwania kufuzu CHAN 2025 baada ya kukaa nje ya kikosi hiko tangu Machi 2024
Tanzania itaikabili Sudan ugenini Octoba 27 2024 huku mechi ya marudiano itapigwa Benjamini Mkapa Novemba 3 2024.
Kikosi hiko chenye wachezaji 24 kitakuwa chini ya kocha Bakari Shime ambaye pia ni kocha mkuu wa timu za taifa za wanawake pia kimejumuisha wachezaji 11 kutoka katika kikosi cha Tanzania U20 ‘Ngorongoro Heroes’ ambacho kimetoka kubeba ubingwa wa CECAFA juzi Dar es Salaam.
Tanzania itaikabili Sudan ugenini Octoba 27 2024 huku mechi ya marudiano itapigwa Benjamini Mkapa Novemba 3 2024.
Kikosi hiko chenye wachezaji 24 kitakuwa chini ya kocha Bakari Shime ambaye pia ni kocha mkuu wa timu za taifa za wanawake pia kimejumuisha wachezaji 11 kutoka katika kikosi cha Tanzania U20 ‘Ngorongoro Heroes’ ambacho kimetoka kubeba ubingwa wa CECAFA juzi Dar es Salaam.