Almanusura nimshushie kipigo mama mjamzito

Ningemrudisha kwao ucku huo huo ndio maana washikaj weng wake wakipata mimba wanawakimbiza kwao nishajia sababu
 
Ebu tuongee io ya kupenda kusikia harufu ya mavi maana inafikirisha
 
Halafu huyo atakaye zaliwa anaanza kumzingua mama yake "oohoo ungechelewa ninge kuzaa wewe!".Mungu utusamehe maana hatujaweza kulipa fadhira kwa mama zetu.

Sasa mama anageuka kuwa chizi kwa sababu tu ya ujauzito

Ewe Mwanamke mwenye mtoto/uliyewahi kuzaa ,pokeeni hongera zangu.Na Mungu aendelee kuwatunza kwa kweli.maana mnapitia mengi sana
 
Aah huo ni usumbufu sasa! Ningempa mikonzi. Mbona kuna wanaotulia tu na ujauzito wao hadi wanajifungua! Hasa wanafunzi ama wale waliopatia ujauzito nyumbani mwao!utamsumbua nani🤔
 
Yani mimba aweke mtu mwingine, alaf fujo wafanyiwe wapita njia.
 
Yaani mwanafunzi afu ujishaue ivo 😆 humtakii mema asee,
Na huyo aliezalia nyumbani wa kumdekeza ivo yuko wapi!!
Basi ndiyo ujue kuwa mtu anaweza kujicontrol bana ila basi tu mapuuza sababu kampata mtu wa kumdekea! Kumuasha mtu akakununulie usiku hivo afu anarudi unamwambia ale yeye usikilize sauti dah😀😀
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huo ujauzito ni mtoto wa kiume, ila poleeeh kwa masaibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…