Almasi na ukakasi Katika ardhi ya Tanzania

MZUNGU NDIO KIUMBE KIBAYA KUWAHI KUWEPO USONI PA DUNIA. HALAFU UTAWASIKIA WAAFRIKA NA WENGINE WANAJUMUIKA MISIKITINI NA KANISANI KWENYE NYUMBA ZA SHETANI WAKIMSAKA SHETANI.
 
Dunia kupitia freemason inamilikiwa na familia tano zenye asili ya uyahudi wengine wakichanganya na damu za Ujerumani.
.1.Oppenheimer family
2.The rotchchild family
3.Rocafelor
4.
 
daaaa ama kweli mabeberu waliwekeza bwana,Yaani vitu vyote hivyo Aisee hivi hao waliwezaje na CCM wanakwama wapi?
Sio mabeberu,Dr Williamson aliwekeza kama kampuni binafsi alikuwa tofauti na wazungu aliwapenda waafrika thus alitaka waishi vizuri kwa kupata basic needs kwa first standard ya Europe ni kweli tuliipata.
Alikuja kuuliwa na familia ya kifreemason ya De beers Wayahudi waliohamia South Africa,
Mzungu huyu Dr Williamson hakutaka kabisa waafrika waonewe.
Sio kwamba wazungu wote walisapoti ubaguzi au ukoloni bali ni matajiri na wanasiasa wachache pekee waliokuwa kwenye level ya maamuzi.
Wale wazungu waliowapinga wazungu wenzao waliuliwa na wazungu mabaguzi.
Serikali ya ccm haiwezi mpatia mtza basic needs au kumletea maendeleo hii inatokana na maagano yao waliyopewa mapangoni bagamoyo kwamba UHURU mtapewa lakini mtakuwa masikini ccm wakakubali sababu kupitia umasikini wao wananufaika, umasikini ni wa wananchi na sio wao wao wako kwenye v8 na viyoyozi.
Pamoja na mapungufu yao but still wakoloni walikuwa ni bora mara mia kuliko ccm.
 
Safi, nikitoka huku nilipo napitia huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Last nilitoka 92 but mwaka huu nitaenda visit kuremember my childhood places tulizocheza kombolela, cheza pamoja nk.
Lakini mwadui ya sasa ni magofu sio ile ya enzi zile za wazungu KILA kitu kimeenda down imebakia ramani tu. Vitu kama swimming pool ni dampo, waliondoa police 94 line, Hakuna fence tena wala nguzo watu waling'oa zote ikiwemo madirisha, milango. Mashamba ya malisho watu wanalima, viwanja vya gofu hamna tena. Waliwahi visit wazungu walioishi enzi za utoto wao walitoa machozi kuona kila kitu kimevurugwa haipo ile mwadui ya enzi zile si unajua tena mswahili anaweza kuvuruga zaidi kuliko kuendeleza.
 
Nilifika mwadui mwaka 1993 mgodi ukielekea mwisho. Kulikuwa kuna daladala, kuna mashine za kusaga bure, maziwa yalipitishwa asubuhi kika siku ila sijui kama ilikya bure, umeme ulikua bure maza alipijia jiko la umeme bila kuhofia bili, maji bure. Mji ulikuwa na bustani nzuri sana nk.
Wiliamson ni wa ajabu aliwatenga wasukuma kwa fensi. Nje ya mwadui kulikuwa kubaya kubaya kubaya, maeneo ya Shybssh mpaka maganzo ni vijiji vya hovyo kama vile havipakani na mwadui.
Uchambuzi wako ni mzuri ile haujakamilika kama nilivyoekeza, alikuwa bepari tu.
Shinyanga mjini hakuna kitu chochote kilichojengwa kwa nguvu ya diamond bora hata pamba(Shirecu) walijenga shule.
Jambo lingine hujaeleza historia ya wasukuma kuchezea bao dhahabu, je nikweli?
 
Uenda kama asingeuwawa na familia ya de beer angefika hadi huko nje ya Mwadui,kuwapa huduma sawa na za watu wa ulaya.
Vingine uvijuavyo ongezea.
Taelezea kuhusu wasukuma na almas
 
Williamson akiwa na wanafunzi wenzake watano walifika Mwadui wakiwa kama wanafunzi wa field wakitafiti miamba yenye madini yaani majiologisti baada ya kuzunguka sehemu mbalimbali walifika Mwadui. Wakiendelea kuhangaika kutafuta madini awakufanikiwa wenzake wakakata tamaa wakaamua kurudi kwao Uingereza, yeye akajipa mda ikishindikana hadi mda fulani ndipo aondoke. Baada ya wenzake kuondoka akiwa kwenye kuzunguka vijiji mbalimbali akafika kijiji cha Mwadui akakuta kuna wazee wanacheza bao, kuangalia vizuri wanatumia almas kama kete za bao akafanya urafiki nao wakampa vipande kadhaa akaondoka akaenda nunua gololi la glass zenye rangi rangi ndani akarudi Mwadui akawapa anawapa awakutao wakicheza bao bure nao wakawa wakimpa almasi si unajua wasukuma walivyo wakarimu,huku wakimcheka na kumuona mjinga yaani Mzungu anawapa gololi nzuri wao wanampa almas ambazo wanaokota tele mbugani, so akakusanya almas za kutosha kwa mtindo huo pia wakawa wanaenda mbugani wanamletea nyingi anawapa gololi, zingine wanavijiji walikuwa wakikandika ukutani fahari kuona ule mmemeto wa almas ndani. Huku akikusanya almasi akiendelea kufanya utafiti wa eneo lenye almasi akagundua maeneo mengi yana almas ila kijiji cha Mwadui ndo kuna stock ya kutosha.
Baada ya kuridhika na utafiti wake plus kukusanya almasi kilo za kutosha akasafiri kurudi Uingereza akauza almasi akapata pesa nyingi Sana akatafuta vibali na kununua vifaa vya uchimbaji madini akaleta Mwadui akaongea na wanakijiji akawajengea makazi bora ndani ya mgodi wakiwa kama wafanyakazi wake wa mwanzo, ndipo akaanzisha mgodi wa Mwadui mwaka 1945 kwa kuchanganya ramani ya mjini wa Quebec na Sehemu za London akajenga mji Mdogo wa kisasa kwa standard ya Ulaya akauita Mwadui Williamson Diamond, mwadui ni neno la kisukuma.But chema akidumu wazungu wenzake familia ya freemason ya Oppenheimer inayomiliki kampuni za Debeer na Barric Gold wamiliki wa migodi ya Barric duniani wakamuua kisa kwann anawapa waafrika maisha ya first class standard ya Ulaya.Baada ya kufa familia hio ndio ikawa ikimiliki mgodi huo hadi Mwalimu Nyerere alipoamua kuifurusha mgodi ukamilikiwa na serikali hio familia ikamfanyia figisu Mwalimu kuuza almasi london pili kwenye kampuni za spare parts mgodi uzalishaji ukarudi chini waswahili wakaingia kuendesha wakaharibu miundombinu mji ukarudi nyuma.
Sisi tulizimalizia mabaki ya raha hizo mwishoni Mwaka 92.
Ila walioishi toka 1945 hadi 1990 ni kweli walikuwa na life standard ya Europe.Umeme, maji, hospital, elimu, chuo, daladala, maziwa,nyumba yenye kila kitu ndani vyombo na fanicha zote masink ya kuogea, nk vilipatikana bure.
Ukistaaafu usafiri bure hadi kijijini kwenu huku ukipata garantii ya watoto wako kubakia kuendelea kukaa mgodini wakisoma na uhakika wa kuajiriwa baada ya kumaliza vyuo vilivyomo ndani ya mgodi.
 
Pia lengo la Dr Williamson kuijenga Mwadui alitaka Ili binti wa malkia wa Uingereza aje aishi pale baada ya kuupata utajiri na kuujenga mji huo alimfata malkia Ili amuoe binti yake, akagomewa kwa kuambiwa utajiri wake ni wa kutafuta na sio wa kurithi kwa maana ya kutoka kwenye uzao au familia ya kitajiri.
 
kwann serikali isimtambue na kumtangaza kama mkombozi ama mpigania haki za mtu mwwusi Tanzania na Afric?
 
Awali nilikuwa najiuliza kwanini mwadui ilipewa jina la kaburu Williamson sasa ndio nimeelewa kama ni kweli basi alikuwa ni katika wazungu wachache mwenye nia nzuri na jamii ya kiafrika ila mwisho wake umenisikitisha sana
 
Hili ni moja Kati ya mabus zaidi yaliyokuwa yakitoa huduma za usafiri kutoka point moja hadi nyingine ikiwemo kupeleka wafanyakazi maofisini na majumbani, plus sie wanafunzi kipindi hicho.
Hii ndio sanamu ya Dr Williamson ni eneo alilochagua kuzikwa kwa maana ya ndipo chimbuko la utajiri wake na huo mbuyu kwa nyuma ndipo alipopatia almas kwa mara ya kwanza alipowakuta wasukuma wakicheza bao.

Hao ni askari wa police TANZANIA wakiwa mgodini kulikuwa na kikosi kamili chenye KILA kitu kwa ajili ya ulinzi.

Anaepokelewa uwanja wa ndege wa Mwadui ni Harry Oppenheimer hii ni mwaka 1958 baada ya Dr Williamson kufariki walipokamilisha mission yao ya kuupora mgodi kuwa chini yao.















 
Awali nilikuwa najiuliza kwanini mwadui ilipewa jina la kaburu Williamson sasa ndio nimeelewa kama ni kweli basi alikuwa ni katika wazungu wachache mwenye nia nzuri na jamii ya kiafrika ila mwisho wake umenisikitisha sana
Hakuwa Kaburu alikuwa ni Mcanada.
Kaburu ni familia ya kifreemason ya Oppenheimer wenye asili ya uyahudi.
Historia aionyeshi Williamson kama alikuwa na ndugu.Alifariki akiwa ajaoa alitegemea angemuoa mtoto wa malkia akatolewa nje.
 
Picha za mji wa Mwadui unazipata google map zinaonyesha clear. Na taarifa zote ingia. www. mwadui.com
 
Familia ya Oppenheimer ndio wamiliki wa madini yote dunia means wewe hata kama Shamba lako lina madini hesabu ni mali yao popote nchi yeyeto duniani madini yote ni mali yao. Wao ndio upanga thamani na bei ya madini dunia nzima.
Hii ni moja ya familia zile tano zinazomiliki dunia. Yaani Dunia yetu sote ni mali ya familia tano za kifreemason wao ndio upanga na uamua Dunia iendeshweje, wakisema corona wote tunaimba corona wakisema ugaidi duniani nzima tunaimba ugaidi ndizo zinacontrol uchumi wa duniani kupitia mabenk na media.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…