Mbona unalialia babu? Do your own research hereMnajiteKENYA halafu mnacheka wenyewe.
Muulize mkenya gharama za kuunganishiwa umeme kwanza, sababu usione wanapinga tu, sababu wanajua kuunganisha umeme Kenya ni sawa na kununua kinu cha nuclear π πMbona wakenya wanaumia sana humu πππ tatizo wakenya Wakiona kitu hakiwezekani kwao basi hudhani kila mahali hakiwezekani kufanyika.
Hahaha. Kweli nyie bado sanaAliekuambia sisi ni LCD ni nani!!?
Sisi ni DONA KANTRI
Tanzania maendeleo ni kila mahali, unaambiwa huko visiwani kama feasibility inaonesha umeme hauwezi kufika kwenye kisiwa cha mbali zaidi bado serikali itakufungia solar power yenye nguvu sawa na umeme kwa gharama ile ile ya 27k kwa household, Kenya Hili halitokaa litokeeNdio maana naipenda nchi yangu Tanzania kwa sababu huwa maendeleo yanasambazwa kote kote sio kama nchi zingine maendeleo ni mjini tu πππ
Kwani unadhani Kenya ndio kuna giza? Ama unajaribu kusema nini?Ugua taratibu, sisi tupo mwangani
Tena JPM alivyoingia tu na bei ya unit kashusha, umeme mpaka vijijini, nina zaidi ya miezi 7 sijawahi ona giza
Tunaumia Sana, tunashangaa vipi mumeweza kusambazia umeme wananchi zaidi ya asilimia 70 MW1400 ilhali Kenya imesambaza asilimia 70 pia MW2700. Kumbuka Tz Ni Nchi ya viwandaTunajua Hili linawauma sana, tena hizo megawatts ulizozitaja bado ni nyingi sana, mikoa mingi Tanzania haina matumizi makubwa ya umeme, home appliances hazili umeme, mjinyonge
View attachment 1219704
Tanzania tunatumia natural gas viwandani, soma hizo tweets πππTunaumia Sana, tunashangaa vipi mumeweza kusambazia umeme wananchi zaidi ya asilimia 70 MW1400 ilhali Kenya imesambaza asilimia 70 pia MW2700. Kumbuka Tz Ni Nchi ya viwanda
Hapana msee kwenye hili ata wapinzani hawa wezi fungua mdomo. Just imagine kwa chini ya $10 unaletewa umeme! Wachache watashindwa ku afford. Kwa chini ya $ 4 unapata units 80, inapita ata miezi mitatu hujasikia habari za umeme kuisha. Bado bwawa la Rufiji likiisha bei itapungua zaidi kwa nchi nzima. Huko mbele kila nyumba Dar itakua na A.C kama Abu dhabi. Karibu Tz msee uone matunda ya misingi ya kijamaa.Kwa misifa tu uko sawa.
πππMuulize mkenya gharama za kuunganishiwa umeme kwanza, sababu usione wanapinga tu, sababu wanajua kuunganisha umeme Kenya ni sawa na kununua kinu cha nuclear π π
Hahaha 1700.. Megawatts ndio zimekua 2700? Hahaha wakenya mna matatizoTunaumia Sana, tunashangaa vipi mumeweza kusambazia umeme wananchi zaidi ya asilimia 70 MW1400 ilhali Kenya imesambaza asilimia 70 pia MW2700. Kumbuka Tz Ni Nchi ya viwanda
Ufisadi hautoruhusu kule kwao πππTanzania maendeleo ni kila mahali, unaambiwa huko visiwani kama feasibility inaonesha umeme hauwezi kufika kwenye kisiwa cha mbali zaidi bado serikali itakufungia solar power yenye nguvu sawa na umeme kwa gharama ile ile ya 27k kwa household, Kenya Hili halitokaa litokee