Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja ya vivutio vya utaliii??????????
...Pole pole mkuu...mbona patamu tu vimichongoma viko sawa kabisa..:A S 8::A S 8:Choka mbaya hamna kitu hapo
Usiwaponde baba yangu, choka mbaya ni yetu sisi sote wabongo, na mbaya zaidi tulishapandikizwa mawazo ya kujiona sisi hatufai, na kila kilicho chetu hakifai! Hivyo vitoto jamani vinavyopendeza na hizo "black is beuaty" colors bado unaviponda? Nadhani wangekuwepo vitimoto ungesifia sana. Bado hujajua siri ya urimbo wa "blacks" au huwa huwezi kuwalinganisha vizuri PRACTICALLY na rangi zingine kwa wakati mmoja! Jaribu kufanya hivyo siku moja halafu commemnts zako utakuja kuziona kama ziko fair au unfair!Choka mbaya hamna kitu hapo
Usiwaponde baba yangu, choka mbaya ni yetu sisi sote wabongo, na mbaya zaidi tulishapandikizwa mawazo ya kujiona sisi hatufai, na kila kilicho chetu hakifai! Hivyo vitoto jamani vinavyopendeza na hizo "black is beuaty" colors bado unaviponda? Nadhani wangekuwepo vitimoto ungesifia sana. Bado hujajua siri ya urimbo wa "blacks" au huwa huwezi kuwalinganisha vizuri PRACTICALLY na rangi zingine kwa wakati mmoja! Jaribu kufanya hivyo siku moja halafu commemnts zako utakuja kuziona kama ziko fair au unfair!