Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Wapo wanaoamini eti kuna maneno au vitu vya kitaalamu ambavyo kwa kiswahili havina maana.
kwanza hao ni wale wavivu sana wa kufikiri,kujifunza na kuwaza.
jiulize je 'television' ilikuwepo kabla ya kiswahili au baada ya kiswahili ?
kwanini leo ikaitwa 'runinga' .
tazama kitu car ambalo liliitwa gari au *website* ambayo ikaitwa 'tovuti' .
je nani alivipa majina ya kiswahili .
Kuna uvivu unafanyika hasa wa wataalamu wa kiswahili katika kukifunza kiswahili.
kwanza hao ni wale wavivu sana wa kufikiri,kujifunza na kuwaza.
jiulize je 'television' ilikuwepo kabla ya kiswahili au baada ya kiswahili ?
kwanini leo ikaitwa 'runinga' .
tazama kitu car ambalo liliitwa gari au *website* ambayo ikaitwa 'tovuti' .
je nani alivipa majina ya kiswahili .
Kuna uvivu unafanyika hasa wa wataalamu wa kiswahili katika kukifunza kiswahili.