Chaiππ€£Vitu vyangu hivyo mdogo wangu
Nikuoneshe playlist yangu?Chaiππ€£
Papa Bakoye_Alphalicha ya Ujumbe, Alpha ana melody nzuri sana. sikiliza Sweet Fanta Dialo, Ididja, Jerusalem, Apartheid is Nazism n.k
Dadeki watu mmeshaifaidi hii dunia,, humu sio kila mtu wa kujibizana naeMwaka 1991 alitoa Album yake iliyoitwa "Masada" nilinunua hiyo Tape Record pale Adam Music Studio Uhindini Mbeya..
Au sioHata mimiπ
Ha haaa..Chezea ganja wewe!Huwa anasumbuliwa na matatizo ya akili mara kwa mara...