Alpha male unahitaji hela

Alpha male unahitaji hela

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Bila kuwa alpha male wanawake watakupelekesha, watakuendesha, watakupanda kichwani.

Your alpha character is your immune system , once it's weak you left vulnerable to all these viruses and financial vampires called women.

Pamoja na umuhimu wa kuwa na alpha character pia usisahau kutafuta hela. Hauwezi ukawawekea watu sheria zako ukiwa hauna kitu tumboni wala mfukoni.

Maisha hayana huruma kwa mwanaume ambae hana hela, kwa mwanaume ni hatia kuishi hapa duniani bila kuwa na hela.

Mwanaume masikini hana sauti, hana mamlaka, hawezi kupendwa. Ukiwa masikini hakuna atakaekusikiliza wala kujali chochote kuhusu wewe.

Usinielewe vibaya, simaanishi kwamba usipokua na hela uwe fala. Kuwa na misimamo yako na usikubali kuwa simp lakini lazima ukubali ukweli kwamba bila hela mambo yako hayataenda kiurahisi ukilinganisha na mwenye nazo.

Tafuta hela, lazimisha dili liteme, usiache fursa ikupite, na ukizipata weka terms and conditions zako, mwanamke haingii kwenye mfumo wako mpige chini. Umetafuta hela ili utawale na kuwa na uhuru wa kuchagua kilicho bora sokoni sio kuwa mateka au kuishia kuwa na mwanamke makapi

Tilia mkazo kwenye kutafuta hela, sio wanawake. Hautapata faida yoyote kufukuzia mademu.

Wanawake hawawezi kukupa hela ya kutumia, lakini hela inaweza kukupa wanawake wa kuwatumia.

Ukiwa na hela mwanamke hawezi kukuwekea sheria. Mwanamke ana msimamo kwa mwanaume masikini. Ukiwa na hela mwanamke hawezi kukuacha na hata akikuacha utapata mbadala wake ndani ya muda mfupi tu.

Money solidify your alphaic nature.
 
Bila kuwa alpha male wanawake watakupelekesha, watakuendesha, watakupanda kichwani.

Your alpha character is your immune system , once it's weak you left vulnerable to all these viruses and financial vampires called women.

Pamoja na umuhimu wa kuwa na alpha character pia usisahau kutafuta hela. Hauwezi ukawawekea watu sheria zako ukiwa hauna kitu tumboni wala mfukoni.

Maisha hayana huruma kwa mwanaume ambae hana hela, kwa mwanaume ni hatia kuishi hapa duniani bila kuwa na hela.

Mwanaume masikini hana sauti, hana mamlaka, hawezi kupendwa. Ukiwa masikini hakuna atakaekusikiliza wala kujali chochote kuhusu wewe.

Usinielewe vibaya, simaanishi kwamba usipokua na hela uwe fala. Kuwa na misimamo yako na usikubali kuwa simp lakini lazima ukubali ukweli kwamba bila hela mambo yako hayataenda kiurahisi ukilinganisha na mwenye nazo.

Tafuta hela, lazimisha dili liteme, usiache fursa ikupite, na ukizipata weka terms and conditions zako, mwanamke haingii kwenye mfumo wako mpige chini. Umetafuta hela ili utawale na kuwa na uhuru wa kuchagua kilicho bora sokoni sio kuwa mateka au kuishia kuwa na mwanamke makapi

Tilia mkazo kwenye kutafuta hela, sio wanawake. Hautapata faida yoyote kufukuzia mademu.

Wanawake hawawezi kukupa hela ya kutumia, lakini hela inaweza kukupa wanawake wa kuwatumia.

Ukiwa na hela mwanamke hawezi kukuwekea sheria. Mwanamke ana msimamo kwa mwanaume masikini. Ukiwa na hela mwanamke hawezi kukuacha na hata akikuacha utapata mbadala wake ndani ya muda mfupi tu.

Money solidify your alphaic nature.
Umeniita mkuu?😀😀😀
 
Pamoja na kuwa na akili kuliko kiumbe mwingine yeyote hapa duniani.

Ila mwanadamu ndio pekee anayeishi kwa kulipia hapa duniani.
 
Bila kuwa alpha male wanawake watakupelekesha, watakuendesha, watakupanda kichwani.

Your alpha character is your immune system , once it's weak you left vulnerable to all these viruses and financial vampires called women.

Pamoja na umuhimu wa kuwa na alpha character pia usisahau kutafuta hela. Hauwezi ukawawekea watu sheria zako ukiwa hauna kitu tumboni wala mfukoni.

Maisha hayana huruma kwa mwanaume ambae hana hela, kwa mwanaume ni hatia kuishi hapa duniani bila kuwa na hela.

Mwanaume masikini hana sauti, hana mamlaka, hawezi kupendwa. Ukiwa masikini hakuna atakaekusikiliza wala kujali chochote kuhusu wewe.

Usinielewe vibaya, simaanishi kwamba usipokua na hela uwe fala. Kuwa na misimamo yako na usikubali kuwa simp lakini lazima ukubali ukweli kwamba bila hela mambo yako hayataenda kiurahisi ukilinganisha na mwenye nazo.

Tafuta hela, lazimisha dili liteme, usiache fursa ikupite, na ukizipata weka terms and conditions zako, mwanamke haingii kwenye mfumo wako mpige chini. Umetafuta hela ili utawale na kuwa na uhuru wa kuchagua kilicho bora sokoni sio kuwa mateka au kuishia kuwa na mwanamke makapi

Tilia mkazo kwenye kutafuta hela, sio wanawake. Hautapata faida yoyote kufukuzia mademu.

Wanawake hawawezi kukupa hela ya kutumia, lakini hela inaweza kukupa wanawake wa kuwatumia.

Ukiwa na hela mwanamke hawezi kukuwekea sheria. Mwanamke ana msimamo kwa mwanaume masikini. Ukiwa na hela mwanamke hawezi kukuacha na hata akikuacha utapata mbadala wake ndani ya muda mfupi tu.

Money solidify your alphaic nature.
Naam mwenye kusikia na asikie😊
 
Mwanaume nje ya kiota ukitafuta resources, mwanamke ndani ya kiota akilea watoto, increase your cashflow, take care of your loved ones, usitafute pesa ili utambe kwa wanawake, ni utoto, tafuta pesa ujitunze wewe na mwanamke wako, ni swagger.
 
Bila kuwa alpha male wanawake watakupelekesha, watakuendesha, watakupanda kichwani.

Your alpha character is your immune system , once it's weak you left vulnerable to all these viruses and financial vampires called women.

Pamoja na umuhimu wa kuwa na alpha character pia usisahau kutafuta hela. Hauwezi ukawawekea watu sheria zako ukiwa hauna kitu tumboni wala mfukoni.

Maisha hayana huruma kwa mwanaume ambae hana hela, kwa mwanaume ni hatia kuishi hapa duniani bila kuwa na hela.

Mwanaume masikini hana sauti, hana mamlaka, hawezi kupendwa. Ukiwa masikini hakuna atakaekusikiliza wala kujali chochote kuhusu wewe.

Usinielewe vibaya, simaanishi kwamba usipokua na hela uwe fala. Kuwa na misimamo yako na usikubali kuwa simp lakini lazima ukubali ukweli kwamba bila hela mambo yako hayataenda kiurahisi ukilinganisha na mwenye nazo.

Tafuta hela, lazimisha dili liteme, usiache fursa ikupite, na ukizipata weka terms and conditions zako, mwanamke haingii kwenye mfumo wako mpige chini. Umetafuta hela ili utawale na kuwa na uhuru wa kuchagua kilicho bora sokoni sio kuwa mateka au kuishia kuwa na mwanamke makapi

Tilia mkazo kwenye kutafuta hela, sio wanawake. Hautapata faida yoyote kufukuzia mademu.

Wanawake hawawezi kukupa hela ya kutumia, lakini hela inaweza kukupa wanawake wa kuwatumia.

Ukiwa na hela mwanamke hawezi kukuwekea sheria. Mwanamke ana msimamo kwa mwanaume masikini. Ukiwa na hela mwanamke hawezi kukuacha na hata akikuacha utapata mbadala wake ndani ya muda mfupi tu.

Money solidify your alphaic nature.
Mwamba Unatema sana Madini Ndio Ubaya ila Hakuna Jinsi Tufate Usharudi Wako
 
Mwanaume nje ya kiota ukitafuta resources, mwanamke ndani ya kiota akilea watoto, increase your cashflow, take care of your loved ones, usitafute pesa ili utambe kwa wanawake, ni utoto, tafuta pesa ujitunze wewe na mwanamke wako, ni swagger.
Safi hii
 
Mwanaume nje ya kiota ukitafuta resources, mwanamke ndani ya kiota akilea watoto, increase your cashflow, take care of your loved ones, usitafute pesa ili utambe kwa wanawake, ni utoto, tafuta pesa ujitunze wewe na mwanamke wako, ni swagger.
Kweli kabisa, ingawa hii mifumo ya 50/50, feminism na sheria kandamizi za ndoa kwa mwanaume inatulazimu tuji-adjust kitaalamu, maana wanawake nao washajua mfumo una loopholes ambazo wakizitumia kimkakati wanatoboa.
 
Back
Top Bottom