Alpha mine yafunga milango

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Kutokana na kasi ya kundi la M23 kujiokotea maeneo huko Kivu kasikazini,

Mgodi wa ALPHA MINE ambao ni mali ya serikali ya Canada, umefunga milango kwa kinachoitwa kwa muda.
Mpaka sasa, wafanyakazi wote wapo kwenye harakati za kurudi makwao, mpaka hapo kitakapoeleweka.
 
Lazima Canada waingie MIKATABA mbalimbali ya Migodi na M23 SABABU SASA IVI NDO WENYE NCHI
 
Mambo ya huko wawaachie wachina tuu, pia niliona wananchi wa hiyo sehem BBC wanalalamikia hiyo Alfa kuwa wamelipwa pesa kidogo sana kama compasation ya ardhi yao na wanaua wanachi na baadhi leseni zime expire.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…