Alphonce Felix Simbu anatarajia kutuwakilisha kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia yanayofanyika huko Budabest, Hungary

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414


Jezi atakayoivaa Alphonce Felix Simbu siku ya Mashindano.

Mwanariadha wa Kimataifa wa Riadha Tanzania na Mwakilishi Pekee , Alphonce Felix Simbu anatarajia kutuwakilisha kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia yanayofanyika huko Budabest, Hungary ; kuanzia 19 -27 Agosti 2023.

Simbu anatarajia kushiriki kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia kwenye mbio ndefu ( Marathon) siku ya Jumapili, tarehe 27 Agosti 2023.

Tumtakia Kila la Heri ili aje na Medali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…