Uwe unaficha ujinga wako
utaanzaje kunisaidia mimi lipi
ikiwa bibiako anahitaji msaada!!
Mwenye kujitambua hakimbilii kutukana baada ya kushindwa na hoja za kipumbavu
story ya mwezi wa 7 mwaka jana
unatulea leo
hii ni jf sio Kenya talk
likipita limepita hatufukui makaburi humu.
Nilisikia Tanzania kuna watu millioni 16 katika hatari ya njaa, Uganda millioni 10, Kenya million 2.5 Sijui nani anafaa kuambia mwingine mamboo ya njaa??