Alternative für Deutschland, AfD, ikishinda uchaguzi wa Ujerumani Jumapili, Muslim Brotherhood wajue Mwisho wao Umewadia

Radical Islamist ni janga na mimi nasapoti wanyang'anywe uraia na kurudishwa makwao lakini sio kuonea watu kwasababu ya Dini Rangi nk.
Ngoja nikwambie, wale waafrika, walatino, wahindu huko ulaya na America uamuzi wa kuwaondosha uwe case by case, siyo collective punishment. But when it comes to Islamists tatizo ni kwenye KITABU chao. Ndiyo maana muislam wa Tanzania, Pakistan Egypt Syria na kuingineko wata behave the same way wanapotokea kuchangamana na watu wasiyo waislamu. Mbaya zaidi, Agenda yao imechukuliwa na Muslim brotherhood ambao popote pale Duniani wanataka kusimamisha Dola ya Kiislamu
 
Islamists tatizo ni kwenye KITABU chao. Ndiyo maana muislam wa Tanzania, Pakistan Egypt Syria na kuingineko wata behave the same
Mbona Waisilamu wa Albania ni tofauti? Uislamu unaweza kufanyiwa Reforms ili uendane na karne hii mambo ya kumuiga Mtu aliyeishi karne ya Saba aliyetumia miswaki ya miti wakati leo tuna tooth brush.
 
Mbona Waisilamu wa Albania ni tofauti? Uislamu unaweza kufanyiwa Reforms ili uendane na karne hii mambo ya kumuiga Mtu aliyeishi karne ya Saba aliyetumia miswaki ya miti wakati leo tuna tooth brush.
Akili zenu bana,unadhani uislam unatokana na katiba ya bavichaa!?.. endeleeni kubadilisha hiyo dini yenu mkibariki liwati kanisani
 
Akili zenu bana,unadhani uislam unatokana na katiba ya bavichaa!?.. endeleeni kubadilisha hiyo dini yenu mkibariki liwati kanisani
Hapo kwenye Quruani kuna mikono ya Binadamu na Binadamu hiwa anakosea unaweza tu tunadilisha kwa mfano Aya inasema wauweni wasioamini Uisilamu yaani "Makafiri" unabadilsha na kuandika "Wapendeni Makafiri" kuna ubaya gani?!
 
Idea ya wahabi ni mbaya sana tena hatari sana . Huyo jamaa wao anafuata mila zao sijui hayo mafundisho anayatoa wapi hata waarabu wenzao picha haziendi .

Wazungu watalamba joto la jiwa wao ndio walianzia huu ujinga wa Globalization , sasa ni zamu yao hawatoweza kupambana na hao zaidi ya kuleta machafuko kwenye nchi zao .
 
Mbona Waisilamu wa Albania ni tofauti? Uislamu unaweza kufanyiwa Reforms ili uendane na karne hii mambo ya kumuiga Mtu aliyeishi karne ya Saba aliyetumia miswaki ya miti wakati leo tuna tooth brush.
Hamna reforms labda huko kwenu , soma kwanza uelewe waislamu hawawezi kubadilisha chochote
 
Huwa nawashangaa waafrika wanashobokea mafashisti ya kizungu kama Trump, Elon Mask, Netanyahu, Putin, AfD, Marie La Pen N.K

Ni kukosa elimu.
Wana haki ya kutetea nchi zao kwa manufaa yao, tatizo ni mentality ya kukataa kwenu acheni mfukuzwe kama wanyama ...
 
Hapo kwenye Quruani kuna mikono ya Binadamu na Binadamu hiwa anakosea unaweza tu tunadilisha kwa mfano Aya inasema wauweni wasioamini Uisilamu yaani "Makafiri" unabadilsha na kuandika "Wapendeni Makafiri" kuna ubaya gani?!
Ona ulivyo mpumbavu juu ya Quran
 
Hamna reforms labda huko kwenu , soma kwanza uelewe waislamu hawawezi kubadilisha chochote
Kusema Quruani ni "direct word of God" ni kudanganya Binadamu Mungu huwa haandiki ni Binadamu ndio anaadika sasa kwanini Mashehe wa Kiislamu wasikae chini na kurekebisha?
 
Baada ya anguko la Hitler, kugawanywa Kwa ujerumani na baadae kuungana mwaka 1990 , mpaka Leo siioni Tena ujerumani katika nyanja za ushawishi kimataifa, imebaki tu na status ya taifa lenye Uchumi mkubwa ulaya lakini ki influence imezidiwa hata na France pamoja na UK
 
Kusema Quruani ni "direct word of God" ni kudanganya Binadamu Mungu huwa haandiki ni Binadamu ndio anaadika sasa kwanini Mashehe wa Kiislamu wasikae chini na kurekebisha?
Mawazo uko sahihi hata mawazo ya vichaa yanathaminiwa , muda mwingine kama mambo hayakuhusu ni btter kukaa kimya .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…