Abel K Mwamlima Member Joined Sep 14, 2016 Posts 11 Reaction score 5 Sep 14, 2016 #1 Nahitaji alternator ya gari kwa bei rahisi! Nisaidie kama una upeo wa masuala haya!
LEGE JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 5,122 Reaction score 9,209 Sep 15, 2016 #2 Abel K Mwamlima said: Nahitaji alternator ya gari kwa bei rahisi! Nisaidie kama una upeo wa masuala haya! Click to expand... mkuu shibisha nyama habari yako kila gari kila engine ina alternator yake sasa utashindwa kusaidiwa kwa kuwa hatufaham unaomba msaada au unatafuta alternator ya gari gani? mm ninazo njoo nikuuzie basi
Abel K Mwamlima said: Nahitaji alternator ya gari kwa bei rahisi! Nisaidie kama una upeo wa masuala haya! Click to expand... mkuu shibisha nyama habari yako kila gari kila engine ina alternator yake sasa utashindwa kusaidiwa kwa kuwa hatufaham unaomba msaada au unatafuta alternator ya gari gani? mm ninazo njoo nikuuzie basi