Alteza na ndoto ya drifting

Alteza na ndoto ya drifting

Bmw m5

Member
Joined
Oct 20, 2024
Posts
73
Reaction score
95
FB_IMG_17322669689282654.jpg

Wakuu habari ya muda huu, ukweli toka moyoni nimekua navutiwa sana na gari aina ya Toyota alteza, hasa 4 cylinder engine.. Manual Transmission, kiasi cha kukosa usingizi nikifikiria siku ya kwanza kumiliki hii chuma itakuaje🙄🤔🤗
..Lakini pia nimekua nafuatilia na pia napenda sana kujifunza drifting, naamini ipo siku nitakua vzuri kwenye kudrift.🙏
-Baada ya kufanya utafiti kidgo kwa wabobezi nimebaini ya kuwa alteza yenye engine kubwa ya 4 ni nzuri zaidi kwenye speed, pamoja na drifting, huku ikiwa ina uwezo wa kwenda 9.5 km/ 1 litre...tofauti na teza ya 6 yenye engine ndogo...ambayo huenda km nyingi zaid almost 12 per 1 ltr.
-Nimekuja kwenu wakuu ili nipate muongozo, maoni na experience zaidi kuhusu alteza hii, ninayojiandaa kuimiliki as soon.
karibuni sana wadau
niko Mbeya-Soweto
 
Dah,gari imeanza kupotea sokoni we ndio unaitamani,imepitwa na fasheni hiyo,ni sawa na kuvaa raizon miaka hi

Dah,gari imeanza kupotea sokoni we ndio unaitamani,imepitwa na fasheni hiyo,ni sawa na kuvaa raizon miaka hii
Ni kweli mkuu, ila ndo first car🤣...naona kama ni best option, kwa kijana anayejitafuta..pia napenda sedan
 
Kuna vitu umenichanganya sana, yaani 4 cylinder ndio injini kubwa, halafu 6 cylinder ndio injini ndogo?
Alteza yenye 4 cylinder ndiyo zina nguvu zaidi pia zinakula mafuta zaidi kuliko 6 cylinder.
Mtoa mada yupo Sahihi ingawa amekosea kasema 6 cylinder ndiyo engine ndogo ..... kumbuka alteza zinafanya vizuri sokoni ni hizo 4 cylinder yaani imeizidi Kwa kilakitu hiyo nyingine
 
View attachment 3158673
Wakuu habari ya muda huu, ukweli toka moyoni nimekua navutiwa sana na gari aina ya Toyota alteza, hasa 4 cylinder engine.. Manual Transmission, kiasi cha kukosa usingizi nikifikiria siku ya kwanza kumiliki hii chuma itakuaje🙄🤔🤗
..Lakini pia nimekua nafuatilia na pia napenda sana kujifunza drifting, naamini ipo siku nitakua vzuri kwenye kudrift.🙏
-Baada ya kufanya utafiti kidgo kwa wabobezi nimebaini ya kuwa alteza yenye engine kubwa ya 4 ni nzuri zaidi kwenye speed, pamoja na drifting, huku ikiwa ina uwezo wa kwenda 9.5 km/ 1 litre...tofauti na teza ya 6 yenye engine ndogo...ambayo huenda km nyingi zaid almost 12 per 1 ltr.
-Nimekuja kwenu wakuu ili nipate muongozo, maoni na experience zaidi kuhusu alteza hii, ninayojiandaa kuimiliki as soon.
karibuni sana wadau
niko Mbeya-Soweto
Hii ilikuwa gari yangu ya kwanza miaka 9 iliyopita nikiwa nimemaliza chuo.
Ni gari ngumu sana, na inakimbia yani kwa vijana ilikuwa poa sana. sema ilikuwa automatic. Niliiuza baada ya rafiki yangu kuipga mzinga. Niliiuza hivyo hivyo ilikuwa imeharibika ubavuni na vioo kupasuka ila inatembea. Hadi leo napishanaga nayo bado inadunda.
 
Hii ilikuwa gari yangu ya kwanza miaka 9 iliyopita nikiwa nimemaliza chuo.
Ni gari ngumu sana, na inakimbia yani kwa vijana ilikuwa poa sana. sema ilikuwa automatic. Niliiuza baada ya rafiki yangu kuipga mzinga. Niliiuza hivyo hivyo ilikuwa imeharibika ubavuni na vioo kupasuka ila inatembea. Hadi leo napishanaga nayo bado inadunda.
kweli chief....hyo ilikua ni 6 cylinder mkuu? auto
 
samahn, mkuu hivi ni kweli teza yenye 6 cylinder sio rafiki kufanya drifting ukilinganisha na ile yenye engine kubwa ya 4 cylinder?
Mkuu mimi sikuwahi kufanya drifting, ila nilikuwaga napishana enzi hizo akina tbway wakienda fanya vurugu bagamoyo wakijiita team teza. Hivyo, sina jibu kamili. na kuhusu ukubw wa engine, mbon ainternet inasema 6 cylinder ni kubwa zaidi? Mimi si technical sana kwenye magari zaidi ya kujua vitu basic na kuendesha. Ila hizi ndo info za mtandaoni.
When comparing the engines of the Toyota Altezza, the 6-cylinder engine (2JZ-GE) is physically larger and generally has more displacement than the 4-cylinder engine (3S-GE). Here's a breakdown:

4-Cylinder (3S-GE)

  • Displacement: 2.0 liters
  • Configuration: Inline-4
  • Power Output: Around 200–210 horsepower (depending on the generation and tuning)
  • Size: More compact and lighter than the 6-cylinder engine.

6-Cylinder (2JZ-GE)

  • Displacement: 3.0 liters
  • Configuration: Inline-6
  • Power Output: Around 215–225 horsepower (non-turbo version)
  • Size: Larger and heavier due to two additional cylinders and greater displacement.
 
Alteza yenye 4 cylinder ndiyo zina nguvu zaidi pia zinakula mafuta zaidi kuliko 6 cylinder.
Mtoa mada yupo Sahihi ingawa amekosea kasema 6 cylinder ndiyo engine ndogo ..... kumbuka alteza zinafanya vizuri sokoni ni hizo 4 cylinder yaani imeizidi Kwa kilakitu hiyo nyingine
labda kitu ambacho ukijui alteza inakuja na engine aina mbil 1gvvti ambayo inaandikwa beam juu ya kava iyo inakua 6 uja hat kweny verosa gx110 na nyingine nying iyo fuel consumption ipo juu kidogo na sio sport ila kuna four cylinder ambayo inakuja na engine ya 3sg ambay ukifungua utaona imeandikwa yamaha ingaw gar katengenez toyot ila alichkua engine toka yamah ajil engine ya yamah ilifanywa sport zaid uraj wake mdogo ila ipo tuned mlio mzur na speed zaid so ukitak ufaid alteza usinue yenye 1g tafuta yenye 3sg ya yamah ambayo ndio sport car kama body ya gar ilivo sport na ikow manual uta enjoy zaid ila ukiifatisha mlio wa exhaust kukutupa ni jambo jepes san
 
Drifting ni kufanyaje?

labda kitu ambacho ukijui alteza inakuja na engine aina mbil 1gvvti ambayo inaandikwa beam juu ya kava iyo inakua 6 uja hat kweny verosa gx110 na nyingine nying iyo fuel consumption ipo juu kidogo na sio sport ila kuna four cylinder ambayo inakuja na engine ya 3sg ambay ukifungua utaona imeandikwa yamaha ingaw gar katengenez toyot ila alichkua engine toka yamah ajil engine ya yamah ilifanywa sport zaid uraj wake mdogo ila ipo tuned mlio mzur na speed zaid so ukitak ufaid alteza usinue yenye 1g tafuta yenye 3sg ya yamah ambayo ndio sport car kama body ya gar ilivo sport na ikow manual uta enjoy zaid ila ukiifatisha mlio wa exhaust kukutupa ni jambo jepes san
nashukuru sana
Una.umri gani dogo?
25 kaka
 
Back
Top Bottom