ALTEZZA VS PREMIO vs RUN X or ALLEX

ALTEZZA VS PREMIO vs RUN X or ALLEX

Daddi

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2017
Posts
890
Reaction score
1,395
Wakuu mnaomiliki au ambao mmewahi kutumia hayo magari lipi la ukweli kwa mizunguko ya hapa mjini?
In terms of:
1.Status/Pride
2. Fuel consumption,
3. Servicing cost
4. Spare parts reliability
5. Durability
NB: Tu_assume mtumiaji wa gari hilo ni kijana 26-30s.
toyota-premio_Myanmar.jpg


1024px-Toyota_Altezza_001.jpg
 
Allex/Run X - Simple car, low fuel consumption, inaweza kuendeshwa hata na mtu mzima tofauti na Alteza ambayo imekaa kihuni sana(inawafaa vijana). Premio pia ni nzuri ila fuel consumption kidogo iko juu halafu yamekuwa mengi sana road, binafsi sipendagi vitu 'yeboyebo' sana
 
Gari zote nimetumia
Analysis;
1) Altezza
- Ni gari nzuri sana na ngumu kwelikweli, inadumu sana. Ndio maana ipo kwenye kundi la sports car.
- Inabwia wese, Altezza zipo za aina mbili Altezza(sedan), Altezza Gita(station wagon) na katika hzo alteza zipo za4cylinder na 6cylinder.
- Kwa urban trips, litre moja inakwenda km 8-9, usiongopewe na mtu yoyote huo ndio wastan na ikitumika sana kwa miaka kadhaa wastan hushuka hadi litre 1 kwa km 7-8.
- kwa safari ndefu, 4cylinder inakwenda hadi km kati ya 12-15 kutegemeana na ubora wa gari yako.
- kama shuguli zako ni tripu za mjini tu, sikushauri kwa maana itakufilisi wese.
- Thamani yake kwa sasa ime-drop sana, hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa bei ya hasara

2)Premio
- Ni gari nzuri sana, kibongobongo tunasema zipo old model na new model but wataalamu wanaziweka kwenye Generations kwa maana ss tunayoiita new model wala sio new model ni second generation( 2003 - 2007), new model zipo za mwaka(2007 - present).
- Kwenye hzo generations zake zipo za cc1490, cc1790 na cc1990. ushauri wangu nunua hzo za kati ya 2003 - 2007 zenye cc1490(1.5l) kwa urban trips zinakwenda litre 1 kwa km 10-13 kutegemeana na condition ya gari.
- Thamani yake kwa sasa ni kubwa sana, namaanisha watu wanavyozi-rate hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa pesa nzur tu.
3)Runx/Allex
- Ni gari nzuri sana, zipo comfortable lakini huwez linganisha na premio.
- Ni ngumu sana na zinadumu, ila tatizo nyepesi sana(1090kg).
- Zipo kuanzia mwaka 2001 - 2006, na zipo za cc1490 na cc1790.
- Kwa ushauri wangu nunua za cc1490.
- fuel consumption kwa urban trips ni litre 1 kwa km 10 - 14 kutegemeana na condition ya gari.
- kwa safari ndefu inakwenda litre 1 kwa km 12- 16 kutegemeana na hali ya gari.
- Watu wanazi-rate high sana, zina thaman kubwa sana. ukija kuiuza utaiuza kwa pesa nzuri

Hitimisho;
- Kwa gari zote hzo hapo juu, kama kipato kinaruhusu nunua premio ya 2016, ila kama kipato hakiruhusu nunua runx au allex hutojuta! kuhusu suala la spare, hzo zote hapo bei zake ni chee tu kasoro premio za 2016.
 
Gari zote nimetumia
Analysis;
1) Altezza
- Ni gari nzuri sana na ngumu kwelikweli, inadumu sana. Ndio maana ipo kwenye kundi la sports car.
- Inabwia wese, Altezza zipo za aina mbili Altezza(sedan), Altezza Gita(station wagon) na katika hzo alteza zipo za4cylinder na 6cylinder.
- Kwa urban trips, litre moja inakwenda km 8-9, usiongopewe na mtu yoyote huo ndio wastan na ikitumika sana kwa miaka kadhaa wastan hushuka hadi litre 1 kwa km 7-8.
- kwa safari ndefu, 4cylinder inakwenda hadi km kati ya 12-15 kutegemeana na ubora wa gari yako.
- kama shuguli zako ni tripu za mjini tu, sikushauri kwa maana itakufilisi wese.
- Thamani yake kwa sasa ime-drop sana, hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa bei ya hasara

2)Premio
- Ni gari nzuri sana, kibongobongo tunasema zipo old model na new model but wataalamu wanaziweka kwenye Generations kwa maana ss tunayoiita new model wala sio new model ni second generation( 2003 - 2007), new model zipo za mwaka(2007 - present).
- Kwenye hzo generations zake zipo za cc1490, cc1790 na cc1990. ushauri wangu nunua hzo za kati ya 2003 - 2007 zenye cc1490(1.5l) kwa urban trips zinakwenda litre 1 kwa km 10-13 kutegemeana na condition ya gari.
- Thamani yake kwa sasa ni kubwa sana, namaanisha watu wanavyozi-rate hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa pesa nzur tu.
3)Runx/Allex
- Ni gari nzuri sana, zipo comfortable lakini huwez linganisha na premio.
- Ni ngumu sana na zinadumu, ila tatizo nyepesi sana(1090kg).
- Zipo kuanzia mwaka 2001 - 2006, na zipo za cc1490 na cc1790.
- Kwa ushauri wangu nunua za cc1490.
- fuel consumption kwa urban trips ni litre 1 kwa km 10 - 14 kutegemeana na condition ya gari.
- kwa safari ndefu inakwenda litre 1 kwa km 12- 16 kutegemeana na hali ya gari.
- Watu wanazi-rate high sana, zina thaman kubwa sana. ukija kuiuza utaiuza kwa pesa nzuri

Hitimisho;
- Kwa gari zote hzo hapo juu, kama kipato kinaruhusu nunua premio ya 2016, ila kama kipato hakiruhusu nunua runx au allex hutojuta! kuhusu suala la spare, hzo zote hapo bei zake ni chee tu kasoro premio za 2016.
mkuu uko sahihi sana alteza simshauri
 
Gari zote nimetumia
Analysis;
1) Altezza
- Ni gari nzuri sana na ngumu kwelikweli, inadumu sana. Ndio maana ipo kwenye kundi la sports car.
- Inabwia wese, Altezza zipo za aina mbili Altezza(sedan), Altezza Gita(station wagon) na katika hzo alteza zipo za4cylinder na 6cylinder.
- Kwa urban trips, litre moja inakwenda km 8-9, usiongopewe na mtu yoyote huo ndio wastan na ikitumika sana kwa miaka kadhaa wastan hushuka hadi litre 1 kwa km 7-8.
- kwa safari ndefu, 4cylinder inakwenda hadi km kati ya 12-15 kutegemeana na ubora wa gari yako.
- kama shuguli zako ni tripu za mjini tu, sikushauri kwa maana itakufilisi wese.
- Thamani yake kwa sasa ime-drop sana, hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa bei ya hasara

2)Premio
- Ni gari nzuri sana, kibongobongo tunasema zipo old model na new model but wataalamu wanaziweka kwenye Generations kwa maana ss tunayoiita new model wala sio new model ni second generation( 2003 - 2007), new model zipo za mwaka(2007 - present).
- Kwenye hzo generations zake zipo za cc1490, cc1790 na cc1990. ushauri wangu nunua hzo za kati ya 2003 - 2007 zenye cc1490(1.5l) kwa urban trips zinakwenda litre 1 kwa km 10-13 kutegemeana na condition ya gari.
- Thamani yake kwa sasa ni kubwa sana, namaanisha watu wanavyozi-rate hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa pesa nzur tu.
3)Runx/Allex
- Ni gari nzuri sana, zipo comfortable lakini huwez linganisha na premio.
- Ni ngumu sana na zinadumu, ila tatizo nyepesi sana(1090kg).
- Zipo kuanzia mwaka 2001 - 2006, na zipo za cc1490 na cc1790.
- Kwa ushauri wangu nunua za cc1490.
- fuel consumption kwa urban trips ni litre 1 kwa km 10 - 14 kutegemeana na condition ya gari.
- kwa safari ndefu inakwenda litre 1 kwa km 12- 16 kutegemeana na hali ya gari.
- Watu wanazi-rate high sana, zina thaman kubwa sana. ukija kuiuza utaiuza kwa pesa nzuri

Hitimisho;
- Kwa gari zote hzo hapo juu, kama kipato kinaruhusu nunua premio ya 2016, ila kama kipato hakiruhusu nunua runx au allex hutojuta! kuhusu suala la spare, hzo zote hapo bei zake ni chee tu kasoro premio za 2016.
Runx nilipiga nayo mzinga moja matata kidogo nife sitokaa nisahau daa [emoji22] [emoji22] [emoji22]
 
Hata ukiwa kwenye hummer ukileta ujinga unakula mzinga
Ni kweli mkuu ajali ni ajali tuu hata ukiwa kwenye ndege
runx ni gari nzuri sana still naipenda kwa mishe za mjini ziko poa sana..kwa trip za mkoani masafa marefu siyo salama sana due to wepesi wake
 
Runx nilipiga nayo mzinga moja matata kidogo nife sitokaa nisahau daa [emoji22] [emoji22] [emoji22]
ha ha ha ha ha ha mzinga gari yoyote ni hatari hata ukipanda basi linaweza kukuua cha muhim kuwa na nidham barabarani mi naendesha gari mwaka wa saba huu sijawai pata mzinga zaidi ya siku moja boda boda kunigonga mlango wa nyuma kidogo
 
A
Kwa miaka 26 na 30 chukua alteza, itakufikisha kwenye mishe zako haraka sana na hivyo kuokoa muda wako na kufanya mishe nyingi kwa muda mchache.
Ahsante Kamanda, vipi kuhusu service huwa inacost how much? na wese budget yake ya wiki kwa mizunguko ya kimara posta itacost how much roughly???
 
Allex/Run X - Simple car, low fuel consumption, inaweza kuendeshwa hata na mtu mzima tofauti na Alteza ambayo imekaa kihuni sana(inawafaa vijana). Premio pia ni nzuri ila fuel consumption kidogo iko juu halafu yamekuwa mengi sana road, binafsi sipendagi vitu 'yeboyebo' sana
Thanks mkuu.
 
Gari zote nimetumia
Analysis;
1) Altezza
- Ni gari nzuri sana na ngumu kwelikweli, inadumu sana. Ndio maana ipo kwenye kundi la sports car.
- Inabwia wese, Altezza zipo za aina mbili Altezza(sedan), Altezza Gita(station wagon) na katika hzo alteza zipo za4cylinder na 6cylinder.
- Kwa urban trips, litre moja inakwenda km 8-9, usiongopewe na mtu yoyote huo ndio wastan na ikitumika sana kwa miaka kadhaa wastan hushuka hadi litre 1 kwa km 7-8.
- kwa safari ndefu, 4cylinder inakwenda hadi km kati ya 12-15 kutegemeana na ubora wa gari yako.
- kama shuguli zako ni tripu za mjini tu, sikushauri kwa maana itakufilisi wese.
- Thamani yake kwa sasa ime-drop sana, hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa bei ya hasara

2)Premio
- Ni gari nzuri sana, kibongobongo tunasema zipo old model na new model but wataalamu wanaziweka kwenye Generations kwa maana ss tunayoiita new model wala sio new model ni second generation( 2003 - 2007), new model zipo za mwaka(2007 - present).
- Kwenye hzo generations zake zipo za cc1490, cc1790 na cc1990. ushauri wangu nunua hzo za kati ya 2003 - 2007 zenye cc1490(1.5l) kwa urban trips zinakwenda litre 1 kwa km 10-13 kutegemeana na condition ya gari.
- Thamani yake kwa sasa ni kubwa sana, namaanisha watu wanavyozi-rate hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa pesa nzur tu.
3)Runx/Allex
- Ni gari nzuri sana, zipo comfortable lakini huwez linganisha na premio.
- Ni ngumu sana na zinadumu, ila tatizo nyepesi sana(1090kg).
- Zipo kuanzia mwaka 2001 - 2006, na zipo za cc1490 na cc1790.
- Kwa ushauri wangu nunua za cc1490.
- fuel consumption kwa urban trips ni litre 1 kwa km 10 - 14 kutegemeana na condition ya gari.
- kwa safari ndefu inakwenda litre 1 kwa km 12- 16 kutegemeana na hali ya gari.
- Watu wanazi-rate high sana, zina thaman kubwa sana. ukija kuiuza utaiuza kwa pesa nzuri

Hitimisho;
- Kwa gari zote hzo hapo juu, kama kipato kinaruhusu nunua premio ya 2016, ila kama kipato hakiruhusu nunua runx au allex hutojuta! kuhusu suala la spare, hzo zote hapo bei zake ni chee tu kasoro premio za 2016.
Mkuu nimekuelewa sana. Thanks alot.
 
Gari zote nimetumia
Analysis;
1) Altezza
- Ni gari nzuri sana na ngumu kwelikweli, inadumu sana. Ndio maana ipo kwenye kundi la sports car.
- Inabwia wese, Altezza zipo za aina mbili Altezza(sedan), Altezza Gita(station wagon) na katika hzo alteza zipo za4cylinder na 6cylinder.
- Kwa urban trips, litre moja inakwenda km 8-9, usiongopewe na mtu yoyote huo ndio wastan na ikitumika sana kwa miaka kadhaa wastan hushuka hadi litre 1 kwa km 7-8.
- kwa safari ndefu, 4cylinder inakwenda hadi km kati ya 12-15 kutegemeana na ubora wa gari yako.
- kama shuguli zako ni tripu za mjini tu, sikushauri kwa maana itakufilisi wese.
- Thamani yake kwa sasa ime-drop sana, hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa bei ya hasara

2)Premio
- Ni gari nzuri sana, kibongobongo tunasema zipo old model na new model but wataalamu wanaziweka kwenye Generations kwa maana ss tunayoiita new model wala sio new model ni second generation( 2003 - 2007), new model zipo za mwaka(2007 - present).
- Kwenye hzo generations zake zipo za cc1490, cc1790 na cc1990. ushauri wangu nunua hzo za kati ya 2003 - 2007 zenye cc1490(1.5l) kwa urban trips zinakwenda litre 1 kwa km 10-13 kutegemeana na condition ya gari.
- Thamani yake kwa sasa ni kubwa sana, namaanisha watu wanavyozi-rate hata ukiamua kuja kuiuza utaiuza kwa pesa nzur tu.
3)Runx/Allex
- Ni gari nzuri sana, zipo comfortable lakini huwez linganisha na premio.
- Ni ngumu sana na zinadumu, ila tatizo nyepesi sana(1090kg).
- Zipo kuanzia mwaka 2001 - 2006, na zipo za cc1490 na cc1790.
- Kwa ushauri wangu nunua za cc1490.
- fuel consumption kwa urban trips ni litre 1 kwa km 10 - 14 kutegemeana na condition ya gari.
- kwa safari ndefu inakwenda litre 1 kwa km 12- 16 kutegemeana na hali ya gari.
- Watu wanazi-rate high sana, zina thaman kubwa sana. ukija kuiuza utaiuza kwa pesa nzuri

Hitimisho;
- Kwa gari zote hzo hapo juu, kama kipato kinaruhusu nunua premio ya 2016, ila kama kipato hakiruhusu nunua runx au allex hutojuta! kuhusu suala la spare, hzo zote hapo bei zake ni chee tu kasoro premio za 2016.
Kwahyo Mkuu RUNX chini ya Km 100,000 inaweza kuwa bei gani kuagiza through beforward ama wengine kama hao, na Altezza nayo itakuwa kiasi gani.
 
Kwahyo Mkuu RUNX chini ya Km 100,000 inaweza kuwa bei gani kuagiza through beforward ama wengine kama hao, na Altezza nayo itakuwa kiasi gani.
Gari nyingi zinacheza kwenye milioni 11 na 12
 
A

Ahsante Kamanda, vipi kuhusu service huwa inacost how much? na wese budget yake ya wiki kwa mizunguko ya kimara posta itacost how much roughly???
Wese andaa laki nne pamoja na weekend kula bata service ni oil na filter tu kwenye laki moja pamoja na ufundi ambao unakuwaga elfu kumi ishu nyingine ni mataili ambayo utabadili kila baada ya miaka mitatu
 
ha ha ha ha ha ha mzinga gari yoyote ni hatari hata ukipanda basi linaweza kukuua cha muhim kuwa na nidham barabarani mi naendesha gari mwaka wa saba huu sijawai pata mzinga zaidi ya siku moja boda boda kunigonga mlango wa nyuma kidogo
Daa acha tuu mkuu ile gari nyepesi kimtindo nilienda nayo mkoa sikua na mzigo abiria nilikua peke yangu tuu usiombe upite sehemu zenye upepo mkali ndugu unatupwa kama karatasi vile
nb:nashauri kama unatumia gar ndogo mfano runx kwenda nayo mkoani beba hata mchanga kwenye buti gari iwe nzito kuepusha ajali
 
Kwahyo Mkuu RUNX chini ya Km 100,000 inaweza kuwa bei gani kuagiza through beforward ama wengine kama hao, na Altezza nayo itakuwa kiasi gani.
Runx kuagiza mil.11- 13 , bei pia hutegemeana na mwaka but ita-range humo!
Altezza pia inategemeana na ya mwaka gani, but ita-range mil.10 - 13 kulingana na condition ya gari+mwaka. we budget andaa mil.13 hapo waweza Baki na chenji kwa ajili ya kui-pimp
 
Back
Top Bottom