always number don't lie

Snipes

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
9,165
Reaction score
16,791
makampuni yaliyopunguza wafanyakazi wake kwa sababu mbalimbali
  • Voda wanapunguza wafanyakazi awamu ya kwanza
  • Tigo washapunguza awamu ya kwanza bado awamu ya pili
  • Coca cola wanapunguza awamu ya kwanza
  • TBL wanapunguza awamu ya nne
  • Bakhresa amepunguza awamu ya kwanza ya pili ni mwezi huu
  • Airtel wamepunguza awamu mbili
  • Serikali nayo haiko nyuma imepunguza awamu ya kwanza
hapo ndio utaelewa kwanini chips hazina ukoko 🙄

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
 
 
Huu utawala wa awamu ya tano unanuksi
Sijui kwasababu ya kudhurumu waanga bukoba au kuteka na kuuwa watanzania

Swissme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…