Greencolour
Senior Member
- Feb 19, 2018
- 105
- 83
Hello!! Hope mko pw naomba mnipokee tuzidi kuelimishana zaidi nawapenda wote wanaJF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni wa kiume pita kushoto kama ni wa kike njoo pm nikukaribishe rasmiHello!! Hope mko pw naomba mnipokee tuzidi kuelimishana zaidi nawapenda wote wanaJF
Taratibu mkuu huu mchezo hauhitaji hasira go downSasa ukisema ww ni jinsia gani utakufa??
Wewe sio mgeni humu.Taratibu mkuu huu mchezo hauhitaji hasira go down
Kidogo mkuu naomba mwongozoSeems unauzoefu na majukwaa ya jamii forums
Santee ntajitahidiKaribu sana sana Jf... Kuna shida na raha zake.. Raha zipokee karaha zipotezee
Huko pm ndo wapiKama ni wa kiume pita kushoto kama ni wa kike njoo pm nikukaribishe rasmi
Jinsia yako kwanza mkuu..Huko pm ndo wapi
Kwa alivojibu hapa atakua wa kike!! Wanaume huwa hatujibu hivyo...!Santee ntajitahidi
Exactly....Kwa alivojibu hapa atakua wa kike!! Wanaume huwa hatujibu hivyo...!
Karibu tukukomaze na mbinu za kula utamu. Bolo unajipimia mwenyeweHello!! Hope mko pw naomba mnipokee tuzidi kuelimishana zaidi nawapenda wote wanaJF
Duuuh huu ukaribisho mbona balaaKaribu tukukomaze na mbinu za kula utamu. Bolo unajipimia mwenyewe
Huku ni full kuondoa mawazo baada ya kazi, wengine wamepata dushelele hukuhuku na kwenda PM kwa raha zaoDuuuh huu ukaribisho mbona balaa