Greencolour
Senior Member
- Feb 19, 2018
- 105
- 83
- Thread starter
-
- #21
Nielekeze huko pm ndo wanaendaje??Huku ni full kuondoa mawazo baada ya kazi, wengine wamepata dushelele hukuhuku na kwenda PM kwa raha zao
Vipi mkuu wewe NGARIBA?Inabidi tujue jinsia yako kwanza... Mana humu madumejike yamekuwa mengi
umeolewa?Nielekeze huko pm ndo wanaendaje??
Bila Shaka we utakuwa dume tuVipi mkuu wewe NGARIBA?
Hahahahaha! Vibaya hivyo, kuna mwanaume mwenzio ananiita mrembo wakeBila Shaka we utakuwa dume tu
Hahahahaha! Vibaya hivyo, kuna mwanaume mwenzio ananiita mrembo wake.Bila Shaka we utakuwa dume tu
Aaah nimepata jibu mwanaume mwenzangu anakwita mrembo hapo nimepata jibu ina maana we sio mwanaumeHahahahaha! Vibaya hivyo, kuna mwanaume mwenzio ananiita mrembo wake
Hahahahaha! Vibaya hivyo, kuna mwanaume mwenzio ananiita mrembo wake.
Hahahaa! Mwali kabisaAaah nimepata jibu mwanaume mwenzangu anakwita mrembo hapo nimepata jibu ina maana we sio mwanaume
Mmmmh hapo mie chenga tuHahahaa! Mwali kabisa
Huoni vindimu hapo kifuani
Macho mabovu?Mmmmh hapo mie chenga tu
mshana jr namm ni member mpya nielekeze jins ya kutengeneza uzi umu jf nashukur kam ntapata msaada!!!nawasilishaKaribu sana sana Jf... Kuna shida na raha zake.. Raha zipokee karaha zipotezee
Asante ndgKaribu Jf
Kama alivyosema mkuu awali kwamba humu kuna raha na karaha zake. That is no 1 mengine yanakujaDuuuh huu ukaribisho mbona balaa
Angalia upande wako wa kulia chini kabisa utaona alama ya kiduara cha blue kina alama ya jumlisha (+). Kiguse hicho kialama then utaona option zinakuja we chagua new topic. Utaandika uzi wako hapo then ukimaliza gusa kialama cha mchale kipo kulia juu kabisa.mshana jr namm ni member mpya nielekeze jins ya kutengeneza uzi umu jf nashukur kam ntapata msaada!!!nawasilisha
Koti limeziba[emoji4] [emoji4]Hahahaa! Mwali kabisa
Huoni vindimu hapo kifuani
Funua kidogo utaonaKoti limeziba[emoji4] [emoji4]
Nami nielekeze mchale ulipoAngalia upande wako wa kulia chini kabisa utaona alama ya kiduara cha blue kina alama ya jumlisha (+). Kiguse hicho kialama then utaona option zinakuja we chagua new topic. Utaandika uzi wako hapo then ukimaliza gusa kialama cha mchale kipo kulia juu kabisa.