DaJane unapoza sauti eeeeenh, nakutania karibu.Kha!!
cacico tena?
Mmeoana humuhumu tena?
Mzee wa Rula usishtuke jamani,mimi mgeni wa kila kitu.
Nimechangamka kwa maana nimekunywa togwa na chapati asubuhi.
Asprin anakutisha tu,anataka anikague peke yake eti.
Katavi njoo huku unipokee.
DaJane unapoza sauti eeeeenh, nakutania karibu.
Atanibikirishaje wakati tuko mbalimbali?
Amenikabirisha bhana.
Me mgeni,nipokeeni.[/QU karibu huku