Am a vrgn Girl!!

Ili Kaizer asijue, hebu twende PM. Ile rule no 3 huwa inaaply baada ya vigezo masharti na itifaki kuzingatiwa. Nakusubiri PM
hakikisha unamaliza kila kitu! wasijekupa sifa za bwimbwi bureeeeeeee, nakuaminia hubby wangu!
 
Ha ha ha ha, nimesahau, kumbe kuna hata dinossaurs walokuwa wanaruka lol
Ngoja kwanza nihakikishe kagongwa mhuru wa TBS

Tunahitaji mwongozo wako hapa Kongosho.
Si kila arukaye na mabawa ni ndege. STUKA konnie, think!!
 
Last edited by a moderator:
saaaaa hizi ndio akili zinanirudia, lol! khaaaaaa, hili ni balaaa, hubby kwani miandiko ndio ile ile?
Hahahahaha! Wifey bana.... Najua kusoma hujui lakini picha nayo unaigeuza juu chini?
 
Mkuu Invisible naomba Umsamehe DaJane nimestuka kukuta kala Ban oi Kulikoni Tena au hakusoma JF Rules oi ana Mwezi mmoja tu na Keshaonja Jela!!! oi oi oi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…