Am asking. Hivi ni kweli sex iko?

Am asking. Hivi ni kweli sex iko?

ProMagufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
253
Reaction score
270
Mambo zenu wadau. Ni matumaini yangu mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa. Aha kuna jambo linanitatiza. Mtu anawezaje kushiriki ngono. Huwa na imagine unakuta mtu anakaa kwao lakini ashafanya ngono. Ni anafanyia wapi na muda gani. Au ni uongo sex hakuna duniani.
 
Mambo zenu wadau. Ni matumaini yangu mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa. Aha kuna jambo linanitatiza. Mtu anawezaje kushiriki ngono. Huwa na imagine unakuta mtu anakaa kwao lakini ashafanya ngono. Ni anafanyia wapi na muda gani. Au ni uongo sex hakuna duniani.
Eeeh Ile muda mama katoka kwenda msibani, kisingizio Jumamosi tumeambiwa twende shule, kingine mama naenda kwa rafiki angu Fulani kufata daftari, kingine mama tuliambiwa tuwe tunatembea kwa rfk zetu kwa ajili ya kujisomea usiku....Mama akisia hvo anajua aah dogo anasoma kweli kumbe anaenda kwa bodaboda
 
Eeeh Ile muda mama katoka kwenda msibani, kisingizio Jumamosi tumeambiwa twende shule, kingine mama naenda kwa rafiki angu Fulani kufata daftari, kingine mama tuliambiwa tuwe tunatembea kwa rfk zetu kwa ajili ya kujisomea usiku....Mama akisia hvo anajua aah dogo anasoma kweli kumbe anaenda kwa bodaboda
Huh kumbe. Mazingira na malezi yana impact kubwa.
 
Mambo zenu wadau. Ni matumaini yangu mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa. Aha kuna jambo linanitatiza. Mtu anawezaje kushiriki ngono. Huwa na imagine unakuta mtu anakaa kwao lakini ashafanya ngono. Ni anafanyia wapi na muda gani. Au ni uongo sex hakuna duniani.
Mungu wangu..[emoji23]
 
Inashangaza sana [emoji16]
Nadhani ni zaidi ya mshangao lakini pia ukitafakari sana ana point muhimu sana.. Kuna watu wako so loyal , so decent kiasi kwamba kile alichofundishwa mwanzoni ndio dunia yake ya uhalisia sasa akiona mazonge lazima ashangae mpaka ashangae tena!
 
Nadhani ni zaidi ya mshangao lakini pia ukitafakari sana ana point muhimu sana.. Kuna watu wako so loyal , so decent kiasi kwamba kile alichofundishwa mwanzoni ndio dunia yake ya uhalisia sasa akiona mazonge lazima ashangae mpaka ashangae tena!
Na wakianzaga kuzongoka wanazongokaga haswaa huwaambii kitu!
 
Mambo zenu wadau. Ni matumaini yangu mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa. Aha kuna jambo linanitatiza. Mtu anawezaje kushiriki ngono. Huwa na imagine unakuta mtu anakaa kwao lakini ashafanya ngono. Ni anafanyia wapi na muda gani. Au ni uongo sex hakuna duniani.
Wewe na hizo akili zako za kijiwejiwe acha kupiga kelele humu
 
Back
Top Bottom