Am back.....and rolling!!

aaaaaaawwwww....i missed you too!!🙂

You can Say that again! I know! Now am right here, dont miss me again darling! Du yu noo waram seying? Hahaha!
 

mie nilikumic sana shishi, kuna wakati nilikuwa free nikataka tukutane jamani, tupo mji 1 hata hatufahamiani?...niliku pm huku lakini hukunijibu dear...nikirudi huko kabla mshike mshike wa kutafuta ugali haujawa busy nitafanya juu chini tuonane mami.....God blec u ma.
 
Karibu shem, you r full of life and high spirited.......thats what a girl like ya need.

keep rolling till erection (I mean election, si unajua matatizo yetu watu wa huku!!?)
 
Karibu shem, you r full of life and high spirited.......thats what a girl like ya need.

keep rolling till erection (I mean election, si unajua matatizo yetu watu wa huku!!?)

Nadhani na hapo panahitaji maelezo ya kuridhisha.
 

thanx dear ati sikujibu pm yako?really?wacha niangalie am sorry sio kwa ubaya. Nipo leave til monday nxt wk so tunaweza kupata kahawa ya nguvu. Ni pm ukiwa available. Kila la kheri na mungu akuepushe na husda na awaangamize mahasidi wetu. Ameen.
 
ewe tafadhali pole pole usije kufa siku si zako.

Chonde Chonde! Mi Sina Siku Zangu! I am He For God's Sake! Ntahitaji kuombwa radhi! Am counting 9.......8........7.......
 
Hmmm!!!...mimi chichemi kitu hapo.

Shishi werukamu!..Happy New Yr to you gal.
We still got the Fort on lockdown.

huchicheme kitu kakangu. While u were away lotsa things happened. Löl! Jamani mbona ukapotea hivyo ama ni mikaango ya memsaph? Kheri ya mwaka mpya 2 u 2.
 
huchicheme kitu kakangu. While u were away lotsa things happened. Löl! Jamani mbona ukapotea hivyo ama ni mikaango ya memsaph? Kheri ya mwaka mpya 2 u 2.
Unaona sasa! Uzee mbaya sana! Mi siku zote hii avatar ya Abtichaz nikawa nafikiria ni She! LOL!
 
thanx dear ati sikujibu pm yako?really?wacha niangalie am sorry sio kwa ubaya. Nipo leave til monday nxt wk so tunaweza kupata kahawa ya nguvu. Ni pm ukiwa available. Kila la kheri na mungu akuepushe na husda na awaangamize mahasidi wetu. Ameen.


mie naanza tar 18, hapa kati nategemea kurudi huko, mungu a2pe uzima....AMEN..AMEN AMEN.
 
Happy new year shishi and welcome back!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…