HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
nakwambia,,,ila mkuu kuna wanaume visirani hadi unashindwa kupumua huko ndaniYeah yani bora hata mwanamke kama hawezi kuinput mawazo yenye tija basi awe chief comforter na kukufuta jasho mume ili akupe boost ya kupambana zaidi kuwa ipo siku you will make it! Sasa mwanamke anageuka mchambaji 😅😅😅
Nimefanywa mjinga..hili nimezinduka . Naamini sina la kuuliza tena nijue. I apologized even when i was right..nijue nini tena.yaani unachosema ni kweli, too much blaiming the other side is not solving the matter, uliza ujue kwa nini mambo yamebadilka na msolve pamoja if at all inawezekana.
ila all in all peace of mind is the goal
Achukue likizo ya kipigo 😅Kwa sababu anampiga basi aende hata kwao apumzike,
Sitamani achukue talaka.
Huyo mwanaume kuna siku atarudi tu kumlilia huyo dada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana for what you are going through. Because umesema you a God fearing person let me focus on spiritual advice. Kipigo kwanza sio kizuri might end your life completely. Mtu anayepiga hadi unalazwa please think twice. Kuhusu kujipanga thats a great idea. Another point pray and maintain inner peace. Soma Yeremia 15:19-21 itakusaidia mahali. Meditate and tell God to show you the way. Anaweza kukufukuza mwenyewe na utoke kwa amani. Jamii yetu imejaa lawama nyingi mkuu na nyingi zinatupiwaga wanawake, and to be clear watu wanaweza kusikiliza story yako at first wakiwa na matumaini ya kubadili kitu ila wakishindwa watakukwepa au kukutangaza. Beba mwenyewe, when you are overwhelmed tell God as your father. I am sure you will be out of this in no time. All the best maaHello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?
I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.
It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;
1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)
2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'
3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake
4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)
5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia
6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot
7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.
8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)
Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.
Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo
I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.
Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa
But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
nakwambia,,,ila mkuu kuna wanaume visirani hadi unashindwa kupumua huko ndani
my advice watu wasikilizane tu kila kitu kitaenda sawa
Huyu ni kisirani wa kutupa..ofcoz raised by a single parent na mimi nimekulia na wazazi wote wawili who loved each other so dearly na hata kama walishagombana sikuwahi kuwaona kwa macho yangunakwambia,,,ila mkuu kuna wanaume visirani hadi unashindwa kupumua huko ndani
my advice watu wasikilizane tu kila kitu kitaenda sawa
This is so powerful..be blessed. Asante sana.Pole sana for what you are going through. Because umesema you a God fearing person let me focus on spiritual advice. Kipigo kwanza sio kizuri might end your life completely. Mtu anayepiga hadi unalazwa please think twice. Kuhusu kujipanga thats a great idea. Another point pray and maintain inner peace. Soma Yeremia 15:19-21 itakusaidia mahali. Meditate and tell God to show you the way. Anaweza kukufukuza mwenyewe na utoke kwa amani. Jamii yetu imejaa lawama nyingi mkuu na nyingi zinatupiwaga wanawake, and to be clear watu wanaweza kusikiliza story yako at first wakiwa na matumaini ya kubadili kitu ila wakishindwa watakukwepa au kukutangaza. Beba mwenyewe, when you are overwhelmed tell God as your father. I am sure you will be out of this in no time. All the best maa
Kaolewa lini huyo 😂😂😂Saint Anne mambo ndo huwa hivi. Sio vzr kumshauri mwenzako Kama ulivyomshauri hapo juu. Umebahatika kuwa na ndoa yenye amani shukuru sana Mungu maana upande wa pili huujui. Ndoa si vita, Kuna vya kuvumilia lkn si Kama hivyo.
Dah nimeshangaa sana comment yako umeshauri Kama mbibi wa Kijijini wa miaka ya 1870
Daah okay thank you lakiniJamani...
Maisha mabaya yapo pote pote tu,ni afadhali ubaki kwenye ndoa upate shida za humo
Nje hakuna cha maana,utapeli ni mwingi mno,na huyo number 8 hapo atajitombea kupita maelezo ila kuoa mazima sahau...
Formula ni fupi tu,kamshindwa A,how on earth hatanishindwa B maana A=B tu!
Mwache apate shida humo humo ndani atajua jinsi ya kuji-adjust humo humo...pia huyo kaka hatujamsikiliza....wanawake si wa kuamini sana ujue!
that is the goal darling,,,hapo hiyo qoute nimemquote mwingine tu nikisema watu wajue namna gani ya kusikizana,,, mm kwako naomba uwe na peace of mind and never leave God,, sema nae akupe mwongozo wa maisha and you shall know why God himself decided to bring you here on earth,,, kwa kuwa dhumuni lake kuu ni wewe umtukuze yeye pekeee kwa kufurahia mema ya nchi.Nimefanywa mjinga..hili nimezinduka . Naamini sina la kuuliza tena nijue. I apologized even when i was right..nijue nini tena.
Peace of mind is my current need right now dear
I damn thought of this, wanaume waliolelewa na single parents wanakuwaga bitter and careless sana! Huyo jamaa yako ni kijana wa kichagga bila shaka, prove me wrong!Huyu ni kisirani wa kutupa..ofcoz raised by a single parent na mimi nimekulia na wazazi wote wawili who loved each other so dearly na hata kama walishagombana sikuwahi kuwaona kwa macho yangu
kuwa raised na single parent is not an issue mkuu,, issue hapa huyu wa kwako hajui thamani yako na mtu yeyote asiyegundua thaman yako usimchukulie poaHuyu ni kisirani wa kutupa..ofcoz raised by a single parent na mimi nimekulia na wazazi wote wawili who loved each other so dearly na hata kama walishagombana sikuwahi kuwaona kwa macho yangu
Kuna muda tutumie akili ya kawaida huku ukiomba Mungu akupe busara zaidi. Tukiweka sana imani tutajikuta mambo yanakuwa mabaya zaidi. Kuwa makini kalumbu.Una hakika gani atarudishwa kwao akiwa kwenye jeneza??
Wewe mtazamo wako ni huo,
Mimi mtazamo wangu ni Mungu atambadilisha.
Sijaolewa bado na Mungu atanipa wa kufanana naye,siyo huyo unayemtaka wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni dogo kichizi ungejua hata usingebishana nae hajui matatizo ya mjengoni 😅😅😅You are so wrong my friend. Na Kama hujaolewa ndo kabisa kaa kimya huna experience yoyote huna haki ya kutoa ushauri tena wa aina hiyo.
Kweli nimeamini ule msemo wa wanawake hatupendani.
Ushauri wako haupo sawa..omba Mungu upate mume muwe na amani na si kumshauri mwenzako avumilie yote hayo. Kwaajili gani sasa?
Hujui maana ya ndoa wewe
Ninaweza kukutajia weakness zangupoint kubwa nimeshika hatujasikia upande wa pili
let me keep quite for now maana kusikiliza upande mmoja nayo ni tabu inayotukumba wengi.
Miss you tooMissez miss u! Ka Anne hakajui mziki wa ndoa ambayo mtu anadundwa! Kwa hii story msela ndio mkorofi bila shaka
mimi ni mchaga pia pls omba msamaha mkuu,,,hahahahhahahaha,,,,ila kuna element ya ukweli hapaI damn thought of this, wanaume waliolelewa na single parents wanakuwaga bitter and careless sana! Huyo jamaa yako ni kijana wa kichagga bila shaka, prove me wrong!
Ni issue it affects a lot of guys esp kama mama alikuwa superior than mshua anatengeneza hali ya dependency! Mtoto wa kiume anakuwa hana akili zaidi ya kuegama kwa mama kwa critical decisions zote!kuwa raised na single parent is not an issue mkuu,, issue hapa huyu wa kwako hajui thamani yako na mtu yeyote asiyegundua thaman yako usimchukulie poa
And what if asipobadilika kabisa unataka asubiri hadi liniAkapumzike kwao,
Asichukue talaka.
Sijasapoti yeye kupigwa na sitakaa nisapoti kipigo,,
Lakini pia sisapoti talaka.
Sent using Jamii Forums mobile app