Ndo hivyo sijui huwa inakuaje, mtuonee huruma kwa kweliNyie dada zetu nyie, imagine hapo ukute kaka, baba, mama, mjomba, shangazi, mama wadogo/wakubwa, marafiki wote wameshashauri aondoke lakini ye bado haamini.
Ni mshika dini sawa, hajui kuwa SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU?
Dada anahitaji msaadaDemi shikamoo,sio kwa kuchamba huko,ila umepita kwenye mstari kbs
Wivu wa nini wakati hakugusiπKaribu sana dear π Jamaa linajidai lina wivu kumbe liongo wakati yeye anajivinjari na vimwana mimi nakumbatia mto. Sasa natafuta mzee mwenzangu
Siku akirudishwa kwao kwenye jeneza utapiga vigelegele. Kama bado hujaolewa nakuombea upate janadume la hivyo
Walk away lady!Sasa nimfanyaje nimbakee? I have tried it all..mbinu zoteeee, umafia wote
Msumeno wenu inabidi ukate kote, Huyo mzee anaetoka na vitoto hujamuona kwenye hiyo heshima yako? miaka 8 mume hamgusi means kamfanya ajione takataka kuwa kazeeka, na hamvutii Tena hujajiuliza hata kisaikolojia kaathirika vipi?? Mtu anakususa miaka 8 kawa mzoga? Acha akapate Raha kiakili itamsaidia kuliko kuvumilia hiyo jehanam eti apate heshima, mi kwakweli sitafuti utakatifu duniani mwanaume akinifanyia hivi pasipo sababu za msingi hakutalalikaKweli kukaa miaka 8 sio kawaida. Ila ushauri wangu hapa umezingatia sana umri wa muhusika.
Heaven niliyokuwa nikiandika ndo hii niliyomo kwa Sasa, nimeipata amani na furaha ya kweli eeh Mungu asante ππSikumaanisha "kuikimbia" kama neno lilivyo. Ni kuachana na hubby wako kwa talaka, mkuu mimi sishauri mtu akae kwenye ndoa yenye bondia hata kidogo coz ukifa yeye atasubiri kidogo tu na kuvuta mwingine ndani.
Pole, Ila kama amani na furaha vimetawala ni vizuri. Japo I thought you were in heaven with your hubby kama ulivyokuwa unaandikaga humu, ndio maana uliona nilishangaa.
Tuzo yako nitakukabidhi mwenyewe km Kweli una miaka hata 5 tu hujaguswa,mie siwezi jamani na hasa kama nikihakikisha mume nje anaenjoy km huyo wako yeleuwiiii siwezi kabisaUmeona eee kipi bora kula raha kwa siri au kuvunja ndoa?
kofi moja tu acha hizo mkuu, kanda maalumunilishaapa maishani nitavumilia mwanaume Hali ngumu ya maisha,,, ameugua muda mrefu,, amepata ulemavu,, sijui amefutwa kazi,,sijui hazai yani Yale ambayo najua yako nje ya uwezo wake Ni kadari ya Mwenyezi Mungu lakini sio wa kipigo na kunikosesha amani ya moyo kwa sababu zake binafsi hata nimpende vipi narudia hata nimpende vipi kipigo Cha Mara ya kwanza msamaha tutaombana police Mara ya pili talaka ataitolea hukohuko police,,baba yangu hajawahi kunizaba kofi,,Wala Kaka zangu Wala walimu shuleni halafu atokee fala mmoja anizabue makofi mpaka kulazwa aisee ninavouthamini huu mwili wallah Sina msamaha Wala mswalie mtume,, halafu wanaume wapigaji na wanyanyasaji asilimia kubwa wanakuaga na upungufu wa nguvu za kiume ndo inapelekea kutojiamini wanaishia kunyanyasa wake zao na kuwa na wanawake wengi wa nje ili kuonesha uwanaume wao kumbe wanaishia kujidhalilisha na kujishushia heshima zao kwenye jamii..
Una watoto wa umri gani?Yeye mbona at the age of 55 anatembea na vitoto vidogo same age na watoto wake heshima iko wapi hapo
i can relate by experience ni kweli ulichoandikaWanawake kuanzia 28 kwenda mbele libido inakua inaongezeka.
At 40 ndo inakua maximum kabisa, wana crave for mgegedo na kuenjoy balaa....!!! Wanawake wengi ambao wameshafika 50+ ukiwauliza at what age did they have the best sex life, most od them watakwambia from around 38-43 yrs!
[emoji1732][emoji1732]Michepuko ka mchanga lazima wewe...mingine hadi kaisahau
Usiombe playboy apate hela ni anato..mba na visivyotomb..eka mweeh[emoji848]
Hakika!8yrs...?
Hii iingizwe kwenye kitabu cha rekodi za dunia, mnalala kitanda kimoja? Au amekuwa hadin..di ?
Kama huna mcheps na wewe nakuinguza kwenye kitabu cha rekodi za dunia, Ila 99% unajimegea pembeni kimya kimya which is okay IMO.
Pole sana, hakuna mapenzi...hakuna mawasiliano..hakuna maendeleo!!!
Ni maombi ili aelewe wenzake wanapitia nini. Ujue kuna watu humu duniani huwa hawaamini Kama Kuna matatizo hadi wayapate. Wakishakuwa na maisha mazuri kila kitu kinaenda sawa wanaona matatizo wameumbiwa wengine wao hayawahusu.Hayo maombi au kafara[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1]cc:Mahondaw vipi hajambo mkuu [emoji28]
Hujui niliyopitia,hujui familia niliyoishi ilikuwa na ndoa ya namna gani,hujui ninayopitia.Ni maombi ili aelewe wenzake wanapitia nini. Ujue kuna watu humu duniani huwa hawaamini Kama Kuna matatizo hadi wayapate. Wakishakuwa na maisha mazuri kila kitu kinaenda sawa wanaona matatizo wameumbiwa wengine wao hayawahusu.
Amekufunga kiasi cha kushindwa kutombw@ huko unapopajua? Au ni maamuzi yako tu kwamba hutaki mboRlo ya nje?Im 51 years old na yeye yuko 55. Katika umri huu naona im too old kupata bwana. Yeye anadate na vibinti vidogo. Ni bora angeniheshimu anarudi ametapakaa lipstic kwenye vest while im starving sexually. Hii sio ndoa ni mateso
Qmmmmmk walah!....nimechekaaaa!Kinachokufanya ustarve sexually ni nini? Unaogopa kutenda dhambi?
Yaani mimi upite mwaka sijafanywa tena bila sababu ya kueleweka...kiruuuu.
Mwezi tu nachizika
Miaka 51 mbona bado sana kupoteza hamu ya kutiana!At 51?