Am I wrong if I process divorce?

Pole sana. Dada
 
Hahaha mbutukunaa

Wivu wangu ni mpaka kwa kaka zako...

Kwanini unataka nifariki lakini?

Hili limeniuma inabidi nilifikishe kwa kiongozi wangu wa kiroho Grahams ili aangalie namna gani atafanya roho yangu isiachane na kiwiliwili...
darling, huu wivu hadi kwa kaka zangu mbona majanga? usiwe na wivu hivi hun niamini mimi tu au imani yako kwangu imeshuka?

pls don't do that to me.
 
Nashukuru sana japo nilishathibitisha yeye kuzini nje..dharau iliongezeka na vipigo. Nipo tayari kwenye mchakato wa divorce na sihitaji ndoa tena maishani mwangu. Pole sana kwa changamoto the world is full of surprises,POLE
I understand your situation now! Mtangulize Mungu Kila hatua being separated sio kitu rahisi has a mkiwa na watoto.
 
Haupo kwenye ndoa ndo mana
 
Haupo kwenye ndoa ndo mana
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Sipo kwenye ndoa, na wewe!

Kuna mwenzio ananichambulisha tembele vizuuuri na namuwekea maji ya kuoga na kumvalia kanga za "ni wewe tu nikupendaye"
Na jicho namrembulia ujue.
Yaaaaani nikipita mbele yake natikisa na wowowo.


Sema nini najua wanaume wachache sana wanaweza kuoa wanawake wenye balls.
Na still wakawaona ni wanawake.

Mmojawapo sio wewe.
And its okey!
Veeeeeery much okey.
 
To you it's not your just saying your not in her position better kua alone n free kuliko unakua mtumwa wa mtu na vipigo.
She knows what's the best for her sisi tunampa ushauri achambue zuri kwakee aende nalo
But habari za kuvumilia achananeni nazo..
Wastage of time bora ukaupotezee na vitu vingine.
Why uvumilie !? Kumbuka kukutesa , kulewa na umalaya kwake ni starehe zake ataziacha kweli na anajua anachokifanya kabisa
 
Wivu wangu ni mpaka kwa kaka zako...

Kwanini unataka nifariki lakini?

Hili limeniuma inabidi nilifikishe kwa kiongozi wangu wa kiroho Grahams ili aangalie namna gani atafanya roho yangu isiachane na kiwiliwili...
Shemeji, Nimemmiss Kaizer
Ukimwona msalimie
 
Unajua unaongea in general what about wale wasiojibu na hupigwa mpk kuvunjwa kwasababu hajamjibu mumewe!?
Swala sio sababu kuna kipindi hahitaji sababu kukupiga hata akirudi usipomuongelesha nikipigo , ukipumua nikipigo , ukicheka nikipigo
Na kwanini akae avumilie kupigwa kwani peke yake hawezi kuishi!?
 
Huna ndoa, sema umempangisha tu huyo jamaa... Mkataba ukiisha na mm 🀳
 
Wivu wangu ni mpaka kwa kaka zako...

Kwanini unataka nifariki lakini?

Hili limeniuma inabidi nilifikishe kwa kiongozi wangu wa kiroho Grahams ili aangalie namna gani atafanya roho yangu isiachane na kiwiliwili...
Hilo nimelipokea, jioni nitaitisha kikao kitakachowahusu jje's na mkongwe Asprin. Kama kawaida, tutatanguliwa na wimbo wa sifa kutoka kwa Chakorii πŸ˜„πŸƒπŸ»
 
Thank you πŸ™πŸΎ

Upo sahihi kabisa. Utii unakuja baada ya kupendwa. Hivi unadharauliwa, hakuna matunzo, hakuna upendo, unapigwa, unanyanyaswa..... Unakuwa unamtii Nani hasa?? Unatii Nini kwa lipi hasa??πŸ˜‚πŸ˜‡πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…