Anna Maria Buberwa
Member
- Oct 3, 2017
- 65
- 121
Hello friends,
My name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old.
I am from Bukoba, though now am living in Dar es Salaam Oyster bay.
Thanks.
--------------
My name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old.
I am from Bukoba, though now am living in Dar es Salaam Oyster bay.
Thanks.
--------------
Karibu sana JF mkuu Anna Maria Buberwa,
Asante kwa kujiunga nasi. Bila shaka umezisoma na kuzikubali sheria na kanuni zinazotuongoza humu. Kama bado, zipitie hapa tafadhali > JamiiForums Rules
Ili kutumia huduma zetu, mwanachama anayejisajili ana nafasi ya kuchagua aina mbili za ushiriki;
1. Anonymity (kutumia jina lisilo halisi kwa ajili ya kulinda faragha)
2. Verification (kutumia jina halisi/utambulisho rasmi).
Kwa kuwa umejisajili kwa jina unalodai ni lako halisi, huna budi kuthibitisha ID yako.
Ili kuthibitishwa: Tunaomba ututumie copy ya kitambulisho au nyaraka yoyote inayotambulika kisheria (Passport, Leseni, Kitambulisho cha Taifa au cha Mpigakura n.k.) kwenda support@jamiiforums.com
NB: Tutakuwekea alama ya kuonyesha uthibitisho itakayosomoka 'verified user' kwenye username yako.
Karibu sana.