myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
kuna mtu aliuliza funguo ukakaa kimya jirani. kwaniniJirani vipi?namuita shemeji aje karibisha mgeni huku
nisamehe bana
thanksNever mind Miss C
Haijapatikana jiran ndio manakuna mtu aliuliza funguo ukakaa kimya jirani. kwanini
Halahala miss, watu wanataka kujaribu bahati zao, wewe endelea kujenga urafiki na pesanisamehe bana
sitarudia tena hili kosaHalahala miss, watu wanataka kujaribu bahati zao, wewe endelea kujenga urafiki na pesa
Taratibu jf itakuwa fbkaribu sana anna maria .... hiyo picha ni wewe?
Tumeshamkaribisha toka asubuhi, saa hizi akaribie nini sasa,oooh ok karibu Annie
yah pole pole tuTaratibu jf itakuwa fb
[emoji1] [emoji1] [emoji1] eti kabla hajavurugwa, mshauri afunge pm mkuu.usiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...
msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga
hapana mkuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] eti kabla hajavurugwa, mshauri afunge pm mkuu.
Umeona eee!yah pole pole tu
Miss ungetupisha basi tumkaribishe mgenithanks
[emoji23] [emoji23] [emoji23]hapana mkuu
kihere here changu ..... napita sirudi tenaMiss ungetupisha basi tumkaribishe mgeni
ha haha wametaka waondoke na roho yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utanyongwa buree
unitonye ikipatikana..Haijapatikana jiran ndio mana
Poleeeha haha wametaka waondoke na roho yangu