Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Na husna the boss lady nae aliturushia picha kumbe njembaView attachment 601070View attachment 601072
Mtoto wa Karagwe huyu atakuwa na mixer ya kinyarwanda kidogo.
So cute,Karibu Jf
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na husna the boss lady nae aliturushia picha kumbe njemba
Shauri lenu
Karibu sana bestHello friends,
My name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old.
I am from Bukoba, though now am living in Dar es Salaam Oyster bay.
Thanks.
Miss tusipo msumbua sie atasumbuliwa na nani tena unataka mtoto wa watu ajione ana nuksiusiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...
msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga
Vipi mkuu minajiaanda akanifundishe katerelo halafu akanioneshe mto ngono niliusikia Kwa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wahaya bhana...
Msumbueni kabisa .. Umesema vyemaMiss tusipo msumbua sie atasumbuliwa na nani tena unataka mtoto wa watu ajione ana nuksi
karibu sana Anna Maria Buberwa hapa jamvini.Hello friends,
My name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old.
I am from Bukoba, though now am living in Dar es Salaam Oyster bay.
Thanks.
--------------
Kwahiyo mke mwenzangu nani? Afadhali maana nimechoka.
Umeniharibia mume ujue!!
Sasa huyo mtani wangu tutaelewana kweli!!bado hajapatikana rasmi ngoja nione huyu Anna Maria Buberwa kama tutaelewana
Nami napanda mlimani kwa ajili ya maombi. espy hakika lazima apate msaidizi...bado hajapatikana rasmi ngoja nione huyu Anna Maria Buberwa kama tutaelewana
Ayaaa basi ngoja nitaenda mbeya kwa Heaven[emoji12]Sasa huyo mtani wangu tutaelewana kweli!!
Kwa binti yangu[emoji15] [emoji15] [emoji15]Ayaaa basi ngoja nitaenda mbeya kwa Heaven[emoji12]
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Hahahaaaaa!!