Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

Wahaya bhana...
Hicho ndicho alitafuta huyu jamaa amekuchota. Siamini mtu anaweza kuandika jina lake na kutamka hadharani ni wa wapi! Aidha sidhani jinsi wenzetu wanavyonyanyapaliwa hapa jf anaweza kujitaja kuwa ni mhaya hapa jf! Huyu utakuta dume tu
 
Mwambie atoe picha na jina lake halisis alitoe. Start a new ID and abandon that or get it changed. Humu kuna vichaa wengi, ujinga , utoto. Kuna watu tunawajua kwa majina , wakubwa lakini wanafanya ujinga mtupu humu .
Sio kila unaemwona humu basi ni kichaa kama wew... Shame on you
 
Kwanza hyo kabila yako tu imefanya nipite mbali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Buberwa
 
Hello friends,

My name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old.

I am from Bukoba, though now am living in Dar es Salaam Oyster bay.

Thanks.

--------------

Kwenye zile PM ulizoandika kulikuwa na yangu moja, naomba iweke hapa ile mistari niitumie kwingine, maana wameifuta kabla sijacopy.

Nilishasahau mistari yangu ile ya ushindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…