mkumbushe na ya kwanguKwenye zile PM ulizoandika kulikuwa na yangu moja, naomba iweke hapa ile mistari niitumie kwingine, maana wameifuta kabla sijacopy.
Nilishasahau mistari yangu ile ya ushindi.
Mamii umerudi jukwaani karibu sanakaribu sana anna maria .... hiyo picha ni wewe?
mkumbushe na ya kwangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwenye zile PM ulizoandika kulikuwa na yangu moja, naomba iweke hapa ile mistari niitumie kwingine, maana wameifuta kabla sijacopy.
Nilishasahau mistari yangu ile ya ushindi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mstari wa nne unakufanania...Yaani nimeona mistari yangu mpaka nikacheka, ile nataka kuicopy thread ikawa ishabebwa na Panya Road.
Natafuta funguo sizioni sijui nani alifunga alfajiri? Naomba ufungue niingie ndani nasikia baridi hapa njeBado dakika 10
Mstari wa nne unakufanania...
Natafuta funguo sizioni sijui nani alifunga alfajiri? Naomba ufungue niingie ndani nasikia baridi hapa nje
bro hamia kule huku unaharibu uzi wa dada wa Bukoba[emoji23]Bado dakika 10
lucas mobutu tukumbushe tafadhali
Anaikumbuka ya nne ndio anayoitumiagalucas mobutu kapanic, sidhani kama alizisoma PM zenyewe, alijua anatajwa kweupe.
[emoji16]huezi amini nimesahau. Nilitokwa povu tu kulelucas mobutu tukumbushe tafadhali
[emoji16]huezi amini nimesahau. Nilitokwa povu tu kule
Ha ha ha mkuu ila mimi sijawahi kumtext na leo ndio nimeona ID yakeNimekuona mate, nikajua umejisoma.
Mimi nimejisoma kabisa, tena mistari ya English, nakumbuka nilichukua hadi dictionary nisikosee.
Ha ha ha mkuu ila mimi sijawahi kumtext na leo ndio nimeona ID yake
[emoji23]kakuzingua sana aisee ila mistari ile ya ngeli iko poa,yule wa mambo ya biblia sijui ni mjinga gani aisee
Nina wasiwasi, pengine ni wewe[emoji16]huezi amini nimesahau. Nilitokwa povu tu kule
[emoji23] mkuuHahaha, yaani nimejikuta nacheka sana kuiona ile mistari, nimesoma nikawa nahisi haya ni maneno yangu.
Kurudi kwenye archive sijaikuta, nadhani nilidelete convo.
[emoji23] mkuu
Yule binti atakua ni form 3 yupo day school ,sio kwa utoto ule