Na usikute wengi wamepata wake kwa waume na makaka na madada humumkuu sijasema hivyo jamani wazuri wapo wengi kuliko wabaya
Kuna miss mmoja kutoka Bukoba mwanawane katika mashindano ya uncle Lundenga miaka fulani huko nyuma.Mara pah! zamu ya kujitambulisha ikafika,pale kwenye kutaja anakotoka,weee! aliacha watu midomo wazi, watu huyo,huyo,nayeye sasa,anajipinda kwa ile cat walk ,dooo!!!!! "I come to Bukoba" wee,palichimbika bila jembe.Hallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,
Fb account is Anna Marie Buberwa,
Thanks
Dada si kwa wivu huu...ningemjua bwashee ningempeleka sehemu yenye mademu wazuri...unajua wivu upo kweli unajua unapozeeka unaona vitoto vinakuja kwa kasi tena visu hasa lazima kawivu kapite moyoni
Hapana usalama wa nini sasa?Anamaanisha waweza kua mtu wa Usalama wewe! watu wajisahau waanzishe urafiki na wewe huko PM baadaye mkutane face to face kama marafiki. huku libazazi likiwa limejisahau kwamba kule kwenye Jukwaa la Siasa linafunguka bila woga likijua halifahamiki
Unapenda kitonga umesahidiwa kuuliza dukuduku lakoSwali zuri miss nafind
hata me nimepata mengi sana mkuu ..Na usikute wengi wamepata wake kwa waume na makaka na madada humu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Poleejamani nimeomba nisichambwe jamani ..... nilidhani hakujua kwamba huku watu ni mafeki id wengi
Usikubali dada yangu,,,,,,,karibu sana .naomba niwe dada yako wa hiari
I come to bukoba hahaKuna miss mmoja kutoka Bukoba mwanawane katika mashindano ya uncle Lundenga miaka fulani huko nyuma.Maravpah! zamu ya kujitambulisha ikafika,pale kwenye kutaja anakotokab,weee! aliacha watu midomo wazi, watu huyo,huyo,nayeye sasa,anajipinda kwa ile cat walk ,dooo!!!!! "I come to Bukoba" wee,palichimbika bila jembe.
jamanieee kwakwweeriii..
mama koku anna yupo onrine...
siyo wivu mbaya ujue ni ule wivu wakutaka kuwachunga tuDada si kwa wivu huu...ningemjua bwashee ningempeleka sehemu yenye mademu wazuri...
Nami naomba uwe dadangu wa hiarihata me nimepata mengi sana mkuu ..
kwenda hukoUsikubali dada yangu,,,,,,,
acha kutuharubia weweusiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...
msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga
umemjuaje?Bukoba sijui ila mhaya anaringa huyo na kingene hana makalio kama wahaya wengine ni flat hata me nimemzidi kwa kalio
nimekomaa asante[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Polee
Kuna dawa ya kumfanya mwanaume ukulilie .......bei yake ...anayetaka kulelewa
ha hahahaacha kutuharubia wewe
hamana dawaKuna dawa ya kumfanya mwanaume ukulilie .......bei yake ...
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] amerahisishaUnapenda kitonga umesahidiwa kuuliza dukuduku lako