Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

Hallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,
Fb account is Anna Marie Buberwa,
Thanks
Kuna miss mmoja kutoka Bukoba mwanawane katika mashindano ya uncle Lundenga miaka fulani huko nyuma.Mara pah! zamu ya kujitambulisha ikafika,pale kwenye kutaja anakotoka,weee! aliacha watu midomo wazi, watu huyo,huyo,nayeye sasa,anajipinda kwa ile cat walk ,dooo!!!!! "I come to Bukoba" wee,palichimbika bila jembe.
 
Anamaanisha waweza kua mtu wa Usalama wewe! watu wajisahau waanzishe urafiki na wewe huko PM baadaye mkutane face to face kama marafiki. huku libazazi likiwa limejisahau kwamba kule kwenye Jukwaa la Siasa linafunguka bila woga likijua halifahamiki
Hapana usalama wa nini sasa?
Nenda Twitter utaniona,
Facebook natumia Anna Marie Buberwa
Nenda St Anthony utaona taarifa zangu hapo
Nenda IFM pia utakuta taarifa zanguu
 
I come to bukoba haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…