Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

Mhhhhh na hii kashkash ya wasio julikana jipelekeni tu kibla
 
Hapana usalama wa nini sasa?
Nenda Twitter utaniona,
Facebook natumia Anna Marie Buberwa
Nenda St Anthony utaona taarifa zangu hapo
Nenda IFM pia utakuta taarifa zanguu
Utakuwa dada wa maana sana wewe
 
Shauri zenu tutawaokota kunduchi beach[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Najaribu kuwaza tu "wale wasiojulikana wana mbinu nyingi sana,usije kuta huu ulimbo ni kwa ajili ya kunaswa Daby au yule Mshana na theory zake Ujasusi"

Karibu mrembo,nyumbani bukoba wananiita Mutashobya
Nimewaza the same, alikuja husna the boss lady kwa mbwembwe na picha akatupia kumbe ni dume bwana!!!
 
usiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...

msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga

Hizi ni Swagga za kina Hussna The Boss Lady.

Mpaka confirmation ifanyike ndo unaweza kuamini kwamba huyu ni wa kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…