Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Acha waliwe wapate experience...by the way haya mambo ukiwa aware sana huwezi kujiingiza inabidi ujitoe ufahamu kidogo!siyo wivu mbaya ujue ni ule wivu wakutaka kuwachunga tu
nilifanya naye kazi ila nilikuwa sijui kama ametokea bukoba kuja dar yule anaonekana kazaliwa dar sababu hana makalioumemjuaje?
Usikome buanaanimekomaa asante
kabisa mkuuAcha waliwe wapate experience...by the way haya mambo ukiwa aware sana huwezi kujiingiza inabidi ujitoe ufahamu kidogo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wahaya bhana...
yani leo ninaloUsikome buanaa
Utakuwa dada wa maana sana weweHapana usalama wa nini sasa?
Nenda Twitter utaniona,
Facebook natumia Anna Marie Buberwa
Nenda St Anthony utaona taarifa zangu hapo
Nenda IFM pia utakuta taarifa zanguu
Kweli mkuu,jf trust me inasaidia wengi...miss chagahata me nimepata mengi sana mkuu ..
mhh ya leo kali,within three hours tutakuwa tushajua ukoo na maisha yako yote,ngoja tuendelee kusubiri..Hapana usalama wa nini sasa?
Nenda Twitter utaniona,
Facebook natumia Anna Marie Buberwa
Nenda St Anthony utaona taarifa zangu hapo
Nenda IFM pia utakuta taarifa zanguu
Plz pay a visit to your inboxHallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,
Fb account is Anna Marie Buberwa,
Thanks
Hata me imenisaidia sana mkuu japo wabaya wapo piaKweli mkuu,jf trust me inasaidia wengi...miss chaga
Nimewaza the same, alikuja husna the boss lady kwa mbwembwe na picha akatupia kumbe ni dume bwana!!!Najaribu kuwaza tu "wale wasiojulikana wana mbinu nyingi sana,usije kuta huu ulimbo ni kwa ajili ya kunaswa Daby au yule Mshana na theory zake Ujasusi"
Karibu mrembo,nyumbani bukoba wananiita Mutashobya
You sent text? I can see 12 messages but I will reply later am quite busyPlz pay a visit to your inbox
Hahahaaa...Amekwambia hataki usumbufu?usiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...
msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga
Huwa wakati mwingine hata mimi namcheck baba alivyo kauzu na bi mdash anavyoonekana kisu enzi zake najiuliza ilikuwa kuwaje wakamatch but jibu linabaki pale pale kwamba ni kujitoa ufahamu!kabisa mkuu
Ngoja tujitoe mhanga tu aiseeMhhhhh na hii kashkash ya wasio julikana jipelekeni tu kibla
Kwannimhh ya leo kali,within three hours tutakuwa tushajua ukoo na maisha yako yote,ngoja tuendelee kusubiri..
usiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...
msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga