mi ntajuaje???
Uzembe kazini labda huzingatii kinachokupeleka kazini na bibi labda humjali.....how should i know?
kudadadadaddadeki, siamini.
I will rise, kama alivyosema Gabriella kwenye wimbo wake.
Wanaonicheka, kunibaza na kunipuuza sina muda nanyi, napiga moyo konde na kuangalia mbele.
Life is full of hills and valleys.