Am looking for a tall handsome man to.....

do you need sperm donor or are you ready to spread your legs for him?.
 
huyu anataka kusumbulia na watakujua na utakuwa na marafiki lakini lengo halitatimia na hata wewe mwenyewe unajua , subiri na mimi ni ku pm , uone changa lake
 


Check me here 0688 111 457
 
In many cases wazazi wakiwa wazuri lazima na mtoto atafata nyayo.
Shule sijakimbia cause am almost graduating na GPA safiiiii mim49
Sasa si uende hosp upewe sperms tu unasumbuka nini kuja huku...Tena unachagua mpaka muonekano wa mtu,eye colour,hairtype,facial structure..Huoni kama ukitafuta mtu hapa unatafuta attachment kujuana na huyo atakayekumimbisha?
Nina wasiwasi na hio elimu yako..Si siku zote vizuri vinazaa vizurii..Wengine wazuri watoto vituko and why should looks matter on the first place?
 



Wapigie simu kina Joti wa Ze Comedy, Diamond, Mr. Blue, Mrisho Ngassa, na matall wengine.
 


Pengine elimu pia inaweza ikawa mgogoro, ila mi nadhani ni nyege za ukubwani na tamaa za kutaka kuitwa Mama fulani baada ya kuona wenzake wameolewa na yeye anaelekea ukingoni bila mtoto/mume hivyo ana panic. Wazo ulilompa ni zuri sana, aende tu hospital.
 

Wala si tamaa au nyege ni maamuzi yangu mwenyewe. Kwa miaka yangu 24 tena bado sijaitimiza bado sijachelewa kuolewa.
The fact is I dont need marriage in my life I just need a baby to love.
 

WE SIO MZIMA WA KUPIMWA,UTAMEGWA MPAKA UOTE SUGU KWENYE PAPUCHI.MWANAUME HATAFUTWI HIVYO UNLESS WE NI HIV+ so UNATAKA KUSAMBAZA.SAMAHANI LAKINI.
 
Hv manaiki hujamuona ,au hajakuona.lkn biashara matangazo kusoma kote na kupita pita kooote hujaonekana au kupata handsone?
 

We mwenyewe mzuri au ndo majanga
 

wanawake hampendani,kila mtu anaishi apendavyo yeye kaamua kuwa Muwazi wewe mbona umekuwa mbogo
 

Kila la heri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…