Been missing you Ks galHolla people....
This is for Kash Kabush Dadiiiiii. ....
Am ready, you know am ready to love you... to love you, forever.... hey my lover man..... come and love me forever more.....
This is an endless love yaani ni mahaba milele.
Kasie Mahaba.
Very valid ulikuwa na warranty ya mwaka mzimaHello Mshana, thanks for the misses...
Missed you too.
Ule mualiko bado upo niufanyie mpango mkakati?
Very valid ulikuwa na warranty ya mwaka mzima
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha kabisa mahaba juu ya kigoda hehehehee.
Looh ndo naangalia saa hizi kumbe sikuuweka ule wimbo ulionijia kichwani wakati nasoma ujumbe wako.....
Nauweka hapa sasa.....
Kasie Kasiba.
Hakika.....Haya ni mahaba nining'inize. ....
Kasie Mahaba Matata.
Havache thaanaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Waaooow asante sikujua hili, huwa mara zote mtu akinipa tabasamu ang'avu namwambia maana Kasie mie napenda sana kutabasamu.
Mshana maneno yako yamenipa tabasamu... sijui ni baada ya kujua warrant ya mwaka mzima..... hehehehehe havachee.
Washinjiadhee nimemiss kuongea kipare na wewe ndo huwa tunaongeleshana chathuu humu.
Mkedhije mwaii.