Am So glad for the 1st time sasa member kamili wa JF

Am So glad for the 1st time sasa member kamili wa JF

Louis II

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2018
Posts
3,030
Reaction score
4,647
Za Joni wakubwa!!!!
Honestly Hakuna kitu nliyotaman kwa MDA mrefu kujiunga kama JF..... nilikuwa mnazi wa kusoma threads mbalimbali za humu nkiwa non-member..... But now I'm an official member tupokeane wakuu[emoji119] [emoji119] [emoji120] [emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni fake ID nyingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ile nyingine hutumii tena sio
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni fake ID nyingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ile nyingine hutumii tena sio
[emoji16][emoji16][emoji16]aisee wengine wageni kabsaa
 
Tunaomba utume salamu kwa wapendwa wako watatu ndg. Muanzisha thread.
 
Utulize mshono tu......lugha za matusi na kebehi hatutaki
 
Back
Top Bottom