Am sorry my baby Wa jf! Moneytalk!!

Ktk security kuna dhana ya 'security through obscurity'. Maana isiyo rasmi ni usalama kupitia kutofahamika au kutojulikana. Imetumika kwa miaka mingi sana na taasisi mbali mbali za ulinzi. Ndo maana hairuhusiwi kupiga piga kambi za jeshi au maeneo ya jeshi, ikiwa na maana kama hujui maeneo ya jeshi yakoje huwezi kushambulia.

Dhana hii sasa imepitwa na wakati kwa sababu taarifa zinapatikana kwa urahisi sana. Kuna drones na satellite, kuna internet na mawasiliano ya simu. Hivyo usalama unatakiwa uwe kwa kupata taarifa sahihi.

Inahusianaje na mapenzi? Hauko salama kwasababu tu hujui siri za mwenza wako. moneytalk na muosha rungu hamuwezi kuachana kwasababu sasa mnajuana vizuri zaidi siri zenu. Kama maisha yenu yalikuwa mazuri kabla ya hii stori, sion kwanini yabadilike sababu mtu kaongea ukweli. Kuna watu wametomb@na na dada zao na baba zao, lakini tunawaona watakatifu sababu wameficha siri zao wakati kiukweli wana laana tu. Nendeni offline muongee yaishe, msiyape nafasi mapaka ambayo yamekaa mkao wa kunyakua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…