Am sorry my baby Wa jf! Moneytalk!!

Sikuisoma hiyo interview wala sikujua kama kafanyiwa usaili ila with the dramas he has in here hata huyo mwanamke ana moyo.
Yaani ungeisoma sidhani kama ungekuwa hapa kumshauri....
 
Una demu anafahamu ID yako then ukafunguka hivyo!!! Hata kwenye maisha nje ya JF watu kuna mengine unakufa nayo kwa kutoyasema.. unahitaji KP.
 
Una demu anafahamu ID yako then ukafunguka hivyo!!! Hata kwenye maisha nje ya JF watu kuna mengine unakufa nayo kwa kutoyasema.. unahitaji KP.
Lawama hazisaidii nibembelezee kwanza!

DJ sepetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…