Am Speechless!

mwenye mawacliano na chris amcal bac hata amuulize mama huko hosp anaendeleaje?
 
mwenye mawacliano na chris amcal bac hata amuulize mama huko hosp anaendeleaje?
okay okay!
dataaz ni kwamba mazishi ya familia ya rafiki wa x-pin yatafanyika kwa siku mbili,leo na wengine kesho!kuna uwezekano mdogo sana wa x-pin kuhudhuria mazishi yote mawili kwani majukumu ya ofisi yamemuandama sana!anajaribu kuangalia kama atamaliza baadhi ya majukumu leo na kesho ili ikibidi kesho jioni au jumatatu asubuhi asafiri!

nitarudi na update kuhusu mgonjwa mahututi shortly!.........
 
mwenye mawacliano na chris amcal bac hata amuulize mama huko hosp anaendeleaje?
MORE DATAAZ ni kwamba yule mgonjwa AMEZINDUKA!.......na yupo alright!mungu ashukuriwe sana wakuu.

kwa mujibu wa x-pin ameniambia sasa hivi kwamba ndugu wote pamoja na MGONJWA/MAJERUHI wapo njiani kuelekea msibani!

nitarudi na dataaz zaidi just now!.....
 

Hata mimi imeniacha speechless. Huyu jamaa yako namfahamu ingawa siyo kwa karibu sana. Wape pole sana nashindwa kifikiria hali aliyokuwa nayo kwa sasa.
 


nikidhani mcba ni dar....poleni sana wafiwa....hii ajali imenishtua kweli kweli, nipo moshi nataka kwenda arusha, naogopa ku drive, naogopa kupanda coaster bac nipo nipo tu.
 
Dah nakuona Yo Yo kwa mbaaaaaaaaaaaali mpwa wetu kapata na janga la ukoo mzima, tunamlilia hapa.
 
haya mama!HALI YAKO?
naona kimya,hata sms tu?!unakimbia michango ya harusi?πŸ˜€

nimecheka mpaka bac....hakimbii mtu hapa, bega kwa bega...nipo likizo mambo mengi ya kifamilia, safari za hapa na pale, na hizi ajali mungu atunusuru.....tutawacliana fresh baadae.
 
nimecheka mpaka bac....hakimbii mtu hapa, bega kwa bega...nipo likizo mambo mengi ya kifamilia, safari za hapa na pale, na hizi ajali mungu atunusuru.....tutawacliana fresh baadae.
ha ha haha!
maanake wapwaaz bwana hawatabiriki,wengi wao sasa hivi hawapatikani hewani!nikajua tu!......πŸ˜€
 
nimecheka mpaka bac....hakimbii mtu hapa, bega kwa bega...nipo likizo mambo mengi ya kifamilia, safari za hapa na pale, na hizi ajali mungu atunusuru.....tutawacliana fresh baadae.

Nishtue nikutumie kadi yako ya harusi mm ndo mwenyekiti wa vikao
 
na mchango ni wewe wewe unapokea?....kama wewe ndio mweka hazina imekula kwao...lol

Yeah mm mwenyewe ndo mtunza hazina usijali si kadi inaonyesha aliye kupa kadi ndo ummpe mchango
 
Poleni sana. Mungu awape faraja ya kutosha na uwezo wa kukabiliana na mambo yote yaliyowasibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…