am too honesty,nisaidieni maana it costs me

mtoto wa mfugaj

Senior Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
136
Reaction score
29
kwa muda sasa nimekua nikitokea mademu na kua muwazi kwao hasa pale anapotaka kujua msimamo wangu kuhusu ndoa,huwa nawaambia ukweli kua cna nia ya kuoa mapema hivyo tuwe lovers tu,mara baada ya kauli hii hua napokea kibuti na matusi mengi mengi,before nilikua nadanganya lakini walipogundua simaanishi walikua wananilaumu sana na wengine kutishia kunidhuru,hvyo nikaamua from now on i will b telling them da truth,ila toka nimeanza mchakato wa kua mkweli nakimbiwa tu,nisaidieni,je nirudie enzi zangu au?
 
Ukitongoza kwa ukweli hupati kitu baba kutongoza lazima kuwekwe na chachandu, na maneno yawe matamu matamu yenye kusisimua na kutia hamasa kwa mlengwa. sasa kama unasema ukweli tuu haaaaa hakuna atakayeku feeel, mfano ukisema Unajua mie nakupenda sana nataka tuwe wapenzi tu lkn sio mpaka ndoa.......... wewewe jamaaaaaa weeweeee nani atakukubali!!!!!!! mwambie mie nataka uwe mke wangu bana! utaona response meno yote 34 sijui na mbili utayaona!!!!!!!!!!!!!!
 
tupo wengi sana... but keep it that way, it helps to clear your conscious na kuondoa lawama zisizo na msingi, asiyeta mpishe tu ndugu yangu kwani akunyimae kunde kakupunguzia mashuzi
 
Sio kila mtu anashobokea ndoa.Kama huna malengo yanayofanana na mwenzako ya nini kumpotezea muda wake?!Tafuta mwenye malengo sawa na wewe.
 
Ndo akili zao zilivyo hao watu!
 
watu washaamka sasa hivi hakuna anaependa kupotezewa muda, hata umdanganyeje akikustukia tu lazima akukache. Sasa jiulize utaruka na wangapi?
 
Kama wewe!!
kwanza mademu wanapenda kudanganywa ukiwa mkweli san hawakuelewi so mdandanye cheza na akili yake atakuelewa tu bila kumwambia kila kitu akishakujua atakuelewa tu
 
Ukweli utakuweka huri. Lakini mkuu unataka uwapange wangapi? Maana hao wasiopenda future ni hatari.
 
asanteni wadau,ushauri na maoni yenu nitayafanyia kazi.pamoja tunajenga taifa.
 
kama unampango kuoa ni bora uoe tu mkubwa lakini kudanganya utakuja kukojoa dagaaa.
 
uongo wako umefikia kikomo na hutakaa upate hadi utakapoamua kuseto na kuoa
hivi nyie wanaume kwann mnapenda kuchezea tu wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…