Marco Polo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 11,786 Reaction score 18,562 Nov 10, 2017 #21 Duuh
Mwandwanga JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 3,059 Reaction score 1,572 Dec 7, 2017 #22 MKALIKENYA said: Kama si wanafunzi wa sheria hiyo reseach unafanya ya nini hili ndo tatizo la hivi vyuo vinavyoibuka kila kukicha TUMAINI,SAUTI,KIU kudahili wanafunzi wa degree ya sheria kiholela ndo tunakutana na upuuzi kama huu. Click to expand... Tabia za Vijana wa Udsm hizi, mbona pale kitivoni kwenu kuna vimeo wengi tu! Msipende jisifia mitandaoni ilihali ni wahivyo mno, Udsm zamani siyo sasa mnayofundisha na Undergraduate wenzenu[emoji204]
MKALIKENYA said: Kama si wanafunzi wa sheria hiyo reseach unafanya ya nini hili ndo tatizo la hivi vyuo vinavyoibuka kila kukicha TUMAINI,SAUTI,KIU kudahili wanafunzi wa degree ya sheria kiholela ndo tunakutana na upuuzi kama huu. Click to expand... Tabia za Vijana wa Udsm hizi, mbona pale kitivoni kwenu kuna vimeo wengi tu! Msipende jisifia mitandaoni ilihali ni wahivyo mno, Udsm zamani siyo sasa mnayofundisha na Undergraduate wenzenu[emoji204]
666 chata JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 1,700 Reaction score 3,921 Dec 8, 2017 #23 Sasa mbona hapo hakuna legal problem, hii research wakiipitisha hao walimu wako ni wehu. Hii statement of problem iko cured na sheria ya ushaidi na ile ya mwenendo wa makosa ya jinai,,, alaf kuna cases kibao zimeshalisolve ili tatizo.
Sasa mbona hapo hakuna legal problem, hii research wakiipitisha hao walimu wako ni wehu. Hii statement of problem iko cured na sheria ya ushaidi na ile ya mwenendo wa makosa ya jinai,,, alaf kuna cases kibao zimeshalisolve ili tatizo.