Am writing a research proposal nahitaji msaada wa introduction na muundo

Kama si wanafunzi wa sheria hiyo reseach unafanya ya nini hili ndo tatizo la hivi vyuo vinavyoibuka kila kukicha TUMAINI,SAUTI,KIU kudahili wanafunzi wa degree ya sheria kiholela ndo tunakutana na upuuzi kama huu.
Tabia za Vijana wa Udsm hizi, mbona pale kitivoni kwenu kuna vimeo wengi tu!

Msipende jisifia mitandaoni ilihali ni wahivyo mno, Udsm zamani siyo sasa mnayofundisha na Undergraduate wenzenu[emoji204]
 
Sasa mbona hapo hakuna legal problem, hii research wakiipitisha hao walimu wako ni wehu.

Hii statement of problem iko cured na sheria ya ushaidi na ile ya mwenendo wa makosa ya jinai,,, alaf kuna cases kibao zimeshalisolve ili tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…